Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii hauhusiani na matokeo ya jana, lakini niseme wazi naomba Lokonga, Vieira na Nketiah waitwe vikosi vya kombe la dunia na January waondolewe kwenye timu.

January tunahitaji wachezaji watano. Haya ni maoni ya mtu aliyeutazama mchezo wa jana uwanjani, haya yanaakisi maoni ya wengi ukifuatilia majukwaa ya Twitter, Instagram, Facebook na YouTube.



 

Naamini he will be offloaded together with Nketiah. Arteta tried to give them enough playing time for them to prove if they have what the team expect from them, lakini bado sana. Mara 100 Tavares anarekebishika. Marquinhos give him time, yule ana vitu fulani naviona kwa mbali. Vieira nimekuwa nikisema humu, hajanivutia
 
Nyie ni forerunner tuu, wala hamna haja ya kujipa presha kuwa mtachukua hata kombe la mbuzi...!!
 
| Calciomercato:

“Arsenal's strong interest in Shakhtar’s winger Mykhaylo Mudryk is confirmed. The Gunners have submitted an offer to the Ukrainian club and are now awaiting a response.” [@calciomercatoit]
 
Kuhusu Vieira hajapata muda mwingi, ametoka Injury bado hajatulia

Arteta amekuwa akimzungumzia daily

Ni dhahiri Jana Arteta alitaka ku sucrifice hii MICHUANO ,Kwanza hakutaka ku risk wachezaji muhimu, ndio maana hata kipa alianza chaguo la 3

Akasema kikos Ni kidogo means sio chakupambania mataji manne ,



Msikilize hapa ,

| Mikel Arteta on whether he will add to the squad in January: “It’s the same squad as when we win. I always said from day one that we have a shorter squad because at the end we left some players and as well if everyone is available and everyone can play the minutes” [@Arsenal]


“We are okay, but at the moment we have some injuries. We know what it is, but it’s nothing new. I said it the first day after the transfer window.” #afc

| Mikel Arteta on Fabio Vieira and how he’s adjusted:

“Well he’s missed a big part because he came and he was injured for two and a half months. So he’s missed a whole pre-season, and I think that period now in the World Cup [break] is going to make him very good.” [@Arsenal]

| Mikel Arteta on Fabio Vieira: “I think in front of goal he’s been a little bit unlucky because the last two games he could have scored a few goals. Every new player needs time to adapt and to play.” [@Arsenal] #afc


| Mikel Arteta on the team selection: “We wanted to give the chance to everybody that is involved in the squad and we believed that this was the competition to do it. I’m happy with the way they performed, but disappointed with the result.” [@Arsenal] #afc
 
Lokonga ,nketiah wataondolewa kwa kukosa nafasi maana Akija CM NA WINGER automatically nafasi zao zinakuwa finyu


Vieira unamuonea tu ndio Kwanza anaingia kwenye kikos ,Ni mgeni, ametoka injury

| Mikel Arteta on Fabio Vieira and how he’s adjusted:

“Well he’s missed a big part because he came and he was injured for two and a half months. So he’s missed a whole pre-season, and I think that period now in the World Cup [break] is going to make him very good.” [@Arsenal]

| Mikel Arteta on Fabio Vieira: “I think in front of goal he’s been a little bit unlucky because the last two games he could have scored a few goals. Every new player needs time to adapt and to play.” [@Arsenal] #afc


| Mikel Arteta on the team selection: “We wanted to give the chance to everybody that is involved in the squad and we believed that this was the competition to do it. I’m happy with the way they performed, but disappointed with the result.” [@Arsenal] #afc
 
Nyie ni forerunner tuu, wala hamna haja ya kujipa presha kuwa mtachukua hata kombe la mbuzi...!!
| Pep Guardiola: “We could be top of the league! But Arsenal have been exceptional. So I think yesterday one guy on my staff told me that we had more points in the Premier League [at this stage of the season] than I think in the last four seasons"

“So that means we have been really good, but another team has been better. We have to accept it. This is the level, the bar, the standards.”
 
Ni muda wenu wakuja kupunguza machungu maana timu zenu zipo ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…