Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo sio sababu , kwani Bremer kamzidi Nini Gabriel Magalhaes?
Coach ndio kaamua ila kiukweli Mistake za Gabriel za hivi karibuni ndio zimemnyima nafasi na Alarm ililia pale last month alivyotemwa kwenye kikosi cha Brazil
nafasi bado anayo na lazima ataparcipate kwenye world Cup 2026 kwa sasa amekosa nafasi reason kubwa ni hyo
 
Ni kweli, lakin sio kwamba anazidiwa na Bremer , sema Brazil Wana watu Sana , angeenda angeishia bench na kupata uzoefu,
 
| Brazil coach Tite on selecting Gabriel Martinelli for World Cup:

“We like Martinelli’s aggressiveness. He's one of the top players at Arsenal, first place in the Premier League. He's good on 1v1, very rapid in transitions, he's been keeping a good level” [@tribalfootball]
 
Ila sio Kwa ESR!.. yule dogo ana bonge la kipaji!... Labda kama kiwango kitashuka Kwa sababu ya injuries kama wilshere hapo sawa
ESR ana kipaji Sana, nampendea kitu kimoja tu Ni ball carrier , atashambulia box hajui kwenda pemben Kama martinel

Ni masta kwenye one touch ,na ile wanaita Third Runner ,

Akikupa pass ,lazima atafungua dakika 0 , had kwenye box
 
Yaan nyie Arse888 mafuta ya taa sana, mnadanganyana kuhusu ubingwa, wakat hata top4 tu hamtoboi. Nani kawaroga?
 
Yaan nyie Arse888 mafuta ya taa sana, mnadanganyana kuhusu ubingwa, wakat hata top4 tu hamtoboi. Nani kawaroga?
Kwa hi Chelsea sikufichi hata top 6 ukomae Sana

Niliwaambia kabla ya msimu mlinitukana Sana ,nilikuwa nawaambia matokeo yenu yatakuwa 1-0,1-1,2-1,0-0 au mchezee vipigo

Nikawaambia Sterling anahitaji nafasi 10 apate goli 1

Kwasasa mnahali mbaya Sana ,na hapo mmetumia £300m

Endelea kupiga Ramli
 
No Arteta presser today, but he has spoken to club media. Says Arsenal are taking Carabao Cup tie v Brighton "very seriously" and will "pick a very competitive team".
 
Arteta -

“I think we are the team in Europe who has rotated the most & obviously that has its benefits. When you are winning, the energy is better and the mood is better, but the preparation is a bit easier, so overall I think they have coped with it really well." (Arsenal)

“We’re going to pick a very competitive team (vs Brighton). I think everyone deserves chances, and we’ll make some changes with judgement in relation to the load of the players, but we’ll play to win."

- Arteta

 
Juve are very interested in signing Nuno Tavares from Arsenal. He is one of their top targets for the left back position (@DiMarzio)
 
Mchambuzi wa soka, Rio Ferdinand akizungumza mara baada ya mchezo wa Chelsea dhidi ya Arsenal;
"Nilifurahishwa sana na kiwango walichokionyesha Arsenal lakini tuwe na mtazamo sahihi."

"Arsenal ni timu iliyojidhatiti na imekuwa na kikosi imara lakini kwa Chelsea hawakuwa na kikosi chao kamili. Inawakosa wachezaji wake kama Koulibaly, Fofana, Kante, Reece, Chilwell, kuna wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza wanaokosekana."


Hater Kama hater

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Juve are very interested in signing Nuno Tavares from Arsenal. He is one of their top targets for the left back position (@DiMarzio)
Kiukweli huyo dogo ni potential sana kama unajua au unajicho la mpira
Anahitaji kujifunza zaidi, kupunguza yale makosa yake ya kudefence

Ana high level of acceleration inapokuja swala la usambuliaji
Ana high speed nzuri sana
Tatizo ni mzito kuachia mpira mapema, inabidi afundishwe zaidi tactically

Shoot accurate yake bado ni ndogo, pia skifundishwa ata fundishika vizuri tu

Watu wakuuzwa at the moment ni NKETIA
na huyu Pepe asirudi


Lokonga na macquinos inabidi tuwatoe kwa mkopo,
Hadi msimu wa 2023/2024 watakua lit


Viera na Nelson
Hawa wapikwe pale pale nyumbani hadi wakae sawa
 
| Gary Neville: “Arsenal fans come at me every single week, every single week, because I will still continue to question them until I don’t see a moment like I did with five or six games to go last season & they get through those moments and they finish in the top 4”

“They [Arsenal] haven’t proven it yet. It’s like a boxer who hasn’t won a title. You have to question them. But what you can’t question is that was a really, really good performance [against Chelsea on Sunday].”

“I want to see it over 38 games and we’ve seen recently Arsenal found it tough in the last part of the season. That is not being overly negative. It’s just saying let’s see what happens in 20 games time. I do think they’re bang on to finish in the top-four”

“I think they’ll [#Arsenal] will fall behind Man City by some distance but that would be no shame. If they finish second that would be a magnificent achievement for Mikel Arteta.”


Hater Kama hater, nasisi tunaendelea kukaza mpaka watapike nyongo

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…