isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,562
Hili jamaa hili, waliache tu.| QUICK STAT
Thomas Partey completed 103 passes today — that's the most accurate passes in one match by an Arsenal player in over two years, ever since Granit Xhaka completed 106 passes in a 2:1 win over West Ham on 19 Sep 2020.
Gunners' main midfield man .
View attachment 2402857
Viera, lokonga naimani wanaweza kubadilika, nketiah sijui kwa kweli, wacha muda utuambie.Sina imani na Nketiah, Lokonga na Vieira. Vieira awapo uwanjani Arsenal inakuwa na wachezaji 10 pekee.
Arteta ni manager na coach kazi ya kocha ni pamoja na kurekebisha wachezaji. Martinelli anatakiwa kuambiwa mpira wa miguu ni team sport not individual sport kama tennis.
Kama ni mzuri biashara iimalizwe mapema, watu huwa wanaissubiri arsenal ipointi tu.Facundo Torres wa Orlando City anakaribia kuhamia Arsenal.
Winga huyo wa Uruguay mwenye umri wa miaka 22 alikuwa na mabao 9 akiwa na asisti 8 katika msimu wake wa kwanza MLS ,
Mazungumzo yatasonga mbele wiki hii.View attachment 2402846
Kapiga kibunda mwaisa.Kuna watu wanajua kubet View attachment 2403265
Kuna huyu Mudrky ,Arsenal walimskauti mapema Sana , baadae waka delay ,maana Shaktar walitaka €50m, dogo UEFA kakiwasha ,kashaanza kutolewa macho na kina mancity , na Bei imechangamka,Kama ni mzuri biashara iimalizwe mapema, watu huwa wanaissubiri arsenal ipointi tu.