Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kakikosi ka kuungaunga kameanza kukata moto ....point 2 zimebaki
 
Arteta anaanz kufeli mdogo mdogo ,nliona tangu alivoanz kushinda goli moja kila mechi,nkapropos kuna important player bench pale izi game za Europ wanatoboa wamekaza fuvuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Arteta anaanz kufeli mdogo mdogo ,nliona tangu alivoanz kushinda goli moja kila mechi,nkapropos kuna important player bench pale izi game za Europ wanatoboa wamekaza fuvuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Auba kasema Arteta hawezi kumanage Big Characters
Anafaa kuwa kocha wa academy, ni mzuri kwa academy ngoja tutaanzisha movement ili tumsajili kwenye academy yetu ya Chelsea inapwaya sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…