mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,592
- 19,232
Nguvu ya arsenal ipo wapi?
1. Pressing
2. One against one
4. Fluidity
1. Pressing
Hii unaweza kuita, kukabia juu
Saka, martinel na Jesus kuna muda wanajivuta nyuma wanawaacha wapinza waanzishe mashambuli na kuna muda wanawakabia huwa wanawakabia juu kabisa
Hao watu wakikabia juu 90% timu pinzanini lazima ibutue mpira
Hiyo inaitwa umewatoa katika mchezo wao
Kwaio ni kazi ya midfielders na backs kuwin mipira na kuanza kupeleka moto
Nyumbu vs chelshit
Wote jana walikua wanafanya pressing lakini hauoni zile hatari za pressing
Unajiuliza hawa wapuuzi sasa wanacheza nini hapa?
Auba, sterling na mount
Wanakabia kwa juu lakini hawaoneshi efects zozote
Anthony, rashfor, Sancho
Hawa nao wapo wapo tu, pressing lakin kepa ndio kwanza anapiga pasi
Broo usiombe upigwe pressing ya Saka, Jesus, Martinel
Pale wakiamua jambo lao
1. Pressing
2. One against one
4. Fluidity
1. Pressing
Hii unaweza kuita, kukabia juu
Saka, martinel na Jesus kuna muda wanajivuta nyuma wanawaacha wapinza waanzishe mashambuli na kuna muda wanawakabia huwa wanawakabia juu kabisa
Hao watu wakikabia juu 90% timu pinzanini lazima ibutue mpira
Hiyo inaitwa umewatoa katika mchezo wao
Kwaio ni kazi ya midfielders na backs kuwin mipira na kuanza kupeleka moto
Nyumbu vs chelshit
Wote jana walikua wanafanya pressing lakini hauoni zile hatari za pressing
Unajiuliza hawa wapuuzi sasa wanacheza nini hapa?
Auba, sterling na mount
Wanakabia kwa juu lakini hawaoneshi efects zozote
Anthony, rashfor, Sancho
Hawa nao wapo wapo tu, pressing lakin kepa ndio kwanza anapiga pasi
Broo usiombe upigwe pressing ya Saka, Jesus, Martinel
Pale wakiamua jambo lao