Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Mashabik wa bongo wanapenda Kumkosoa mchezaji pale timu ikikosa matokeo, dhidi ya Leeds huyu katuokoa Sana ,but hapewi heshima yakeLet's not pretend kwamba kukosoa mchezaji ni kwamba unamchukia, that's low IQ reasoning
Mfano mimi Will Jr mchezaji ninayempenda kuliko wote Arsenal ni Thomas Partey, lakini namkosoa sababu napenda kuona anaishi kwenye uwezo wake na kipaji mungu alichombariki wala si kwamba ninamchukia, tunapokosoa wachezaji wetu pale wanapokosea lengo ni kuona wana improve cuz wakiwa bora na Arsenal yetu inakuwa bora pia, kukosoa mchezaji anapofanya vibaya si kwamba anachukiwa. The goal is to see improvement, Ex; Huwezi kukuta sahivi naandika Thomas partey this, Thomas partey that cuz i see improvement, game control unaiona na ndio kitu nilikuwa nataka toka mwanzo.
Binafsi Will Jr napenda kukosoa mchezaji pale timu inapofanya vizuri, unapokosoa mchezaji wakati timu inafanya vibaya ni kuua uwezo wake wa kujiamini completely.
Arsenal wanaona jins anavyoshambuliwa ,Wamekuwa wakimpambania ,maana tutawatoa wachezaji kujiamini ,pale Emirates mchezaji akikosea ,mashabik ndio wanazidi kumuimba na kumshangilia