Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
kuna tatizo gani leo game letu na man cty kuwa postponedEmbu tujikumbushe huu waraka wa mchambuzi wa mchongo??View attachment 2390766
Tunamalizia kiporo cha Europakuna tatizo gani leo game letu na man cty kuwa postponed
Arsenal anacheza na PSV alhamis Europa, ndio mana mechi vs City J5 imekuwa postponed.kuna tatizo gani leo game letu na man cty kuwa postponed
aaaaah ok kumbeTunamalizia kiporo cha Europa
Embu tujikumbushe huu waraka wa mchambuzi wa mchongo??View attachment 2390766
Wataongea sana matakataka hawa. Sisi tushinde mechi zetu tu.Tulivyompiga Cheltako 4-0 watu wakasema ni "pre-season, hizo mechi za kirafiki tu."
Ligi ilivyoanza tukapanda kileleni wakasema "oooh ni mechi tatu tu hizo ligi ina mechi 38."
Wakaja na hii "oooh mnazifunga timu dhaifu ngoja mkutane na wababe mtashuka"
Baada ya Manyumbu kutufunga wakasema "oooh mmekutana na timu ngumu moja tu na mmefungwa"
Sasa baada ya leeds wanasema oooh makocha wameshamjua Arteta, sasa wengine wanasema ngoja Jesus aumie, wengine wanasema baada ya World cup mtashuka tu
Say way down we gooo...
Hilo ndo muhimu kwetu.Wataongea sana matakataka hawa. Sisi tushinde mechi zetu tu.
Wamebaki wanashangaa.Embu tujikumbushe huu waraka wa mchambuzi wa mchongo??View attachment 2390766
Let's not pretend kwamba kukosoa mchezaji ni kwamba unamchukia, that's low IQ reasoning
Haters wa gabby wamekuwa wengi club inapambana kuwapunguza