Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Calm down brother, ni siku mbaya tu kazini. Tutegemee siku ka hizi. City na squad + expirience bado huwa anakutana na gemu kama hizi. The positive is we walked away with 3 points. Lets forget today and move on
 
ni bora hivi anavyocheza arteta,maana hizi positional based team zikikuana na high pressing team yenye quick transition ni mateso kwendambele
Moja ya sababu kubwa iliyofanya tupoteze game ya Man u ni kushindwa kucontrol space wakati wa kudefend quick transitions, kwenye transitions tunakuwa exposed sana akikosekana Partey.
 
Ifike stage Arteta ajue anatak nn aisee,Europa aweke vijana wengine rotation dah
 
Anfield ni uwanja mgumu mnoo
hawa liver etihad wangekula hata rungu tano
 
Ifike stage Arteta ajue anatak nn aisee,Europa aweke vijana wengine rotation dah
Hivi Ni lazima kukoment?

Unajua umuhimu wa hizi mech 2 za Europa ?

Arsenal akiongoza kund ana escape 2 games ,anaruka moja kwa moja round 16 ,akiwa wa pili anacheza round 32 mech tafu na waliotoka UCL

Arteta Anajua kuliko wewe
 
Hivi Ni lazima kukoment?

Unajua umuhimu wa hizi mech 2 za Europa ?

Arsenal akiongoza kund ana escape 2 games ,anaruka moja kwa moja round 16 ,akiwa wa pili anacheza round 32 mech tafu na waliotoka UCL

Arteta Anajua kuliko wewe
Gabriel haikua na haja ya kumuanzisha mechi ya Bodo wew kaza fuvu
 
Baada ya Leeds kuipa kichapo heavy chelmatako na jinsi wanavyocheza kwa kupress, kiukweli Mimi nilikuwa tunaweza shikiliwa Leo!...Baada ya kipenga Cha mwisho kupulizwa nimeshangilia mpaka watu wamenishangaa... Wale Leeds hawafai, timu nyingi kubwa za big six zitaacha point pale Msimu huu... Japo tumeshindwa kwa mbimbe lakini tumeonyesha kuwa tunaweza kulinda ushindi wetu!
 
 
"Ninapenda uimara, mapambano ya mhusika na ujasiri ambao timu ilionyesha kushinda mchezo."

Mikel, kwenye ushindi mnono ugenini.
 
Nuksi ilianza pale walipoambiwa warudi vyumbani

Kipindi cha kwanza agalau tuligonga gonga mpira

One golden chance one goal

Kipindi cha pili hasa dakika za 65 kuendelea
Leads walituvutisha pumzi ya moto

Cha msingi tumeokota points 3

Man city tumemuacha points 4


Haaland kiatu
Arsenal ndoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…