Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,512
- 2,240
Unafundisha timu gani?Arteta anaakili kweli upande kulia wa white amekua uchochoro Leeds wanapeleka mashambulizi mengi ila haoni,toa white ingiza tierney aende kushoto tomy aende kulia
Kind of shambolic. Nina siku sijaiona Arsenal ya hivi
Haiwezekani kila siku ukapata unachotaka, cha msingi point tatu zimepatikana?! Mapungufu yatajadiliwa. Haikuwa siku nzuriTulipaswa kuwa tumefungwa 3-1 mpaka sasa
Tukutane kwenye majumuisho nyie washakunakuWapi wazee wa ball la kuvutia mnatusagia kunguni man u kila siku pira bovu naona mnaomba game imalizike.
FACT!Alhamdullilah! hapa ndipo naona pana tatizo game hizi 2 za mwisho tumepelekewa moto na hawa vijitoto pressure imekuwa kubwa mno kwetu Next vs Southampton (Away game)Bonge la game, kipimo sahihi mnapokuwa na game mbovu mnaweza kuhumili pressure? Mkapata goli na kulilinda? Hakuna cha kulaumu. Ni binaadamu wale, sio PS. Cha msingi point tatu ugenini.
Hello Mbwa jike!Leeds United ndyo tunaanza ligi Leo mkipata hata draw nyie arsenyeto mniite mbwa nimekaa pale
Chizi yule.Mwishoni Gabriel akataka kutulaza na viatu dah
Neno full squad hapa ndipo linapotokea tuna squad ya players wachache sana ambao naona kucompete League na Europa itakuwa ni very difficult at the same timeMechi ya Bodo ilitakiwa ituashirie kwamba tunapotea, ya leo imeconfirm kwamba tunapotea.
Ni aibu kiukweli.
Yaani Leeds kaongeza shots, possession na potential dangerous move simply kisa ananyang'anya mpira kutuzidi na anafanya purposive movements kutuzidi? Na yuko 15th sisi ni wa kwanza?
Arteta atafute dawa kabla hatujaharibu zaidi ya performance ya leo na iliyopita.
Upuuzi.