Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah, Tierney amalize pale ili tuwe safe zaidi

Basi white ampishe tomiyasu ile wings na full backs zi balance mikimbio
 
Hapo mwishoni sijaelewa unaongelea ndoo gan
 
Zinny alikuwa injury akapona, Tierney kaumia jumatano, International game ,

Ode ilikuwa knock akakosa dhidi ya Brentford,lkn mech za taifa kacheza
 
Kama ulimsikiliza Arteta kabla ya mech ya Spurs alipoulizwa amejiandaaje dhid ya kaunta za Spurs alisema atakuja Kama Siku zote ,hivo waje na kaunta zao

Most of fans mitandaon walitaka aanze Tierney coz ya hizo kaunta


Mm nasema aanze Zinny , why ? Tunahitaji ku control Midfield,

Ishu ya kudefence bado inabaki kwa Timu nzima


Tulifungwa na man u coz ya kaunta , Pep juz akajua ndio silaha yao iliyotumika kuwafinga Arsenal akaja tofaut na Siku zote, uliona alichofanya hakushambulia kwa 2-3-5 Bali Walker na cancelo hawakuwa wanaingia ndan Kama anavyofanyaga ili kuzimeza kaunta za man u


So Liverpool ya Sasa twende nao Kama mech nyingine, Cha Kwanza TU control MD , beki yao hasa Trent anapitika Sana

Ukiruhusu MD waitawale Ni kuruhusu Trent apande ,Hilo tatizo


MWISHO, kwasasa Tierney anazoeshwa na yeye kucheza Kama Beki kiungo

Utafauti wake na Zinny ,Zinny Ni Technical mguuni
 
🚨 Arsenal defender Cedric Soares has now fully recovered from injury & is expected to be called up to face FK Bodø/Glimt this week. [@kayakaynak97] #afc
 
ethan Nwaeri ndiye mchezaji mdogo zaidi kuwahi kucheza ligi kuu uingereza kwa sasa akiwa na umri wa miaka 15 pekee amezaliwa march 21/2007
 
Yeah, Tierney amalize pale ili tuwe safe zaidi

Basi white ampishe tomiyasu ile wings na full backs zi balance mikimbio
Ishu kwa white ni kuwa ana speed sana ile running power ya kupress high line na kurudi fasta when we defend transitions so Tomiyasu ni ngumu sana kuanza.
 
Unajua mkuu mara nyingi during transitions timu inakuwa juu kwenye opposition half, na liverpool ni transitional monsters, so it's better off kuanza na Tierney kuliko Zinchenko, Tierney is a good defender, Zinny ni mzuri technically tho.
 
Nasoma comments za mashabik wa spurs Baada ya kutoka 0-0 na Frankfurt , na muda mwingi Spurs akicheza kiujanja ujanja kusubiri KAUNTA,

,dah Mashabiki Conte hawamuelewi, leo katoka na 0 shots on target ,

Wanadai kashaharibu uwezo wa Son, amekuwa butu

Spurs nimegundua form yake asilimia kubwa inategemea Sana uwepo wa Kuluvelski, ndiye mpishi mkubwa wa magoli yao .

Pia Richarlson akicheza right hajawahi kuwa na madhara ,

Everton alikuwa anatokea Left au anacheza false 9 lkn atatokea left
 
Nimeichek game ya barca
Kwa watu aliokua nao Xavi nadiliki kusema Xavi uwezo mdogo

Arteta anajua jamani

Amepigiwa low block na inter ameshindwa ku-unlock
Arteta au guardiola ukikaa nyuma ndio wanakuua vizuri
 
Conte wa Spurs simuelewi kabisa. Sijui shida ni nini. Maana alipo kuwa Chelsea na Inter alikuwa anacheza mpira mzurii, Wachezaji Wana press mpaka golini. Lakini Spurs ana jilindaa sana haijarishi anacheza na giant au underdog
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…