Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuombe pasiwepo na injury Alhamisi. Liverpool sio mbovu kihivyo. They play nice football but let down by LUCKY
Alhamis tupo home ,Faida moja wapo niliwahi kusema humu

Tunaweza kuwatumia kina nketiah, Marquinho, Cedric, lokonga, na watoto wa academy na bado tukaongoza kundi

Nilikuwa najibu hoja Kuna mtu alidai tuna MICHUANO mingi Sana kina Jesus ,saka hawatoshi

Nikamwambia sisi hatuchez UCL ,hivo haitulazimu kuweka full mkoko,

Liverpool anaenda kucheza na rangers, atake asitake lazima aweke full kikos

Nilisema Arsenal ataanza kutumia kikos Cha Kwanza Europa hatua za mtoano

Group stages kina holding ,nketiah, Marquinho, Nelson ,na waliotoka majeruhi wanatosha kumaliza nafas ya Kwanza,

Hivo usitegemee kuwaona kina Saka, Martinell,Jesus,PARTEY, xhaka, zinny, Ramsdale, Saliba , n.k Europa

Arteta atachanganya kiasi kidogo Sana Kama beki mmoja , Tierney,Tomiyasu,Vieira ,nketiah, Nelson, wanahitaji dk,

, my prediction Alhamis

Turner
Tomiyasu Holding Gab Tierney

Lokonga. .......xhaka

Marquinho. Vieira. .....Nelson

Nketiah
 
Yeah ni kweli
Ni kichaa atakaemuanzisha partey game ya Europa
 
Mkimfunga Liverpool mtakuwa mnapandisha joto la klopp kuchanganyikiwa na kuzidi kukamilisha ile laana ya Kila baada ya miaka Saba kwenye club Mambo kuharibika
Klopp zama zake zipo ukingoni, akiondoka Liverpool itawachukua muda kurud kwenye ushindan mkubwa, hata Bodi ya Liverpool inaogopa kumtimua,
 
Mkimfunga Liverpool mtakuwa mnapandisha joto la klopp kuchanganyikiwa na kuzidi kukamilisha ile laana ya Kila baada ya miaka Saba kwenye club Mambo kuharibika
Tukimfunga Liverpool aisee sioni wakutuzuia kwasasa had tutakapokutana na city nadhani hi mech itachezwa Baada ya World cup au January kabisa
 
Wakati wa mapumziko siku ya Jumamosi, Granit Xhaka aliomba msamaha kwa jukumu lake katika kile kilichopelekea Tottenham kupewa penalti ya kipindi cha kwanza ambayo Harry Kane alituma kusawazisha.

Xhaka alishindwa kuondoa mpira kwenye eneo la goli kabla ya Gabriel kufanya tackle vibaya. [@SamiMokbel81_DM]
 
Tukimfunga Liverpool aisee sioni wakutuzuia kwasasa had tutakapokutana na city nadhani hi mech itachezwa Baada ya World cup au January kabisa
Shida ni kuwa Gunnerz mnategemea kikosi cha kwanza kupata matokeo.

Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza wakianza kukosekana, Ndo hapo mnapo anza kupoteana .
 
Arteta hafanyagi huo ujinga.

Anacho angalia ni kushinda leo.Fixture inayo fuata ndo anajua cha kufanya.

Ukitaka kuamini,Angalia wachezaji mhimu wanao toka kwenye injury huwa hawapi muda eti kuwa fit. Ni amepona Leo game inayo fuata Yuko kwenye starting lineup.
 
Shida ni kuwa Gunnerz mnategemea kikosi cha kwanza kupata matokeo.

Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza wakianza kukosekana, Ndo hapo mnapo anza kupoteana .
Sisi Pengo kubwa kwasasa huwa Ni kwa Partey ,

Kule mbele wengi wanacheza namba tofauti

Hivi unajua Jesus anacheza namba zote mbele

Vieira anacheza Kwa ode na saka

Zinny anacheza namba sichin ya 3 had kwa ode

Tomiyasu anacheza namba 4 za kwenye Beki kwa usahihi coz anatumia Miguu yote

Ben White anacheza RB,RCB NA DM

Ni eneo moja linatusesa ,nafas ya Partey na Baada ya elneny kuumia, so tunaomba atusogeze had January

Moja ya mikakati ya kutanua kikos alisema Mikeli ni kusajiri versatile players wengi

Hivi unajua Hata Pep ndio njia anayotumia ? Juz Dm wamecheza kina Gundogan Bernado Silva alimkosa Rodri.

Man city na Arsenal Wana idaid ya wachezaji 24-25 wakati timu kama man u ,n.k zina wachezaji had 31
 
Kwasasa hakuna aliyetoka injury kubwa, hivo usitegemee kuwaona kina Partey ,saka, Jesus ,zinny ,

Kama unabisha subiri kesho kutwa lineup
 
Angemjaribu tomiyasu hapo kwenye LCB
 
Inshu ni quality mkuu. Ndo maana Zin katoka kwenye injury kaanzishwa licha ya kuwa Tierney Yuko fit. Ode ametoka kwenye illness kina Viera wapo lakini bado hawaaminiwi.Inshu siyo wengi, inshu ni je atakupa product Sawa na yule anae Anza kikosi Cha kwanza?
 
Arsenyani naona mnajitahiditahidi angalau mnaweza maliza top 4
 
Angalia wachezaji mhimu wanao toka kwenye injury huwa hawapi muda eti kuwa fit. Ni amepona Leo game inayo fuata Yuko kwenye starting lineup.
Wewe unaiongelea Arsenal ipi, Tomiyasu, Vieira hata Partey mech na man u alikuwa na knock TU lkn hawakucheza
 
Kwasasa hakuna aliyetoka injury kubwa, hivo usitegemee kuwaona kina Partey ,saka, Jesus ,zinny ,

Kama unabisha subiri kesho kutwa lineup
Nina uhakika hao wataanzaa kesho kutwa. Sema tuu baada ya kupata matokeo ndo watatolewa kupumzishwa. Labda kama haujamsoma Arteta.
 
Shida ni kuwa Gunnerz mnategemea kikosi cha kwanza kupata matokeo.

Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza wakianza kukosekana, Ndo hapo mnapo anza kupoteana .
Liverpool ukitoa kile kikosi chake cha kwanza ana nini cha ziada

Kukosekana kwa Thiago, Nunes, Anderson
Wiki zilizopita aliyumba sana kimatokeo

Na ata walipo rudi, bado wana struggle.
Alikua ni kikosi kamili lakin katoa draw na Brighton
Tena Brighton kapiga mpira mkubwa sana

Au nyumbu, japo ana wachezai wengi kuliko arsenal.
Ukitoa ile starting eleven yake, nae niambie ana nini cha ziada?
Ata uyo Chelsea kikosi anaunga unga tu

Kumbuka arsenal bado hatuna full squad
Na pengo kubwa akikosekana partey

Ila baada ya game na Liverpool, wanaofata hata bila ya partey ni Fimbo tu

Liverkuku mwenyewe nae ajiandae FIMBO za kutosha

Martinel ashaanza kutuma salam kwa A. anorld
Kwa sasa hakuna mid ya liverkuku inayoweza ku-battle na partey

Saka hawana uwezo wa kumzuia ata kidogo, kwanza huwa anakabwa na wachezaji kuanzia wawil

Saliba na Gabriel huo ukuta ameushinwa Kane, sijui huyo nunez na wajjnha wenzake watakuja kufanya nini

Zinchenko wamoto

Odegard wamoto

Xhaka ndio man of the show

Haaland anabeba kiatu
Arsenal anabeba ndoo
 
Imo, Arteta amwanzishe Kieran Tierney mechi dhidi ya liverpool badala ya Zinchenko, tutawaua kirahisi huku Salah akidhibitiwa, Zinchenko akianza dhidi ya Salah tutakuwa exposed sana kwenye transition, japokuwa tunamuhitaji zaidi zinny if we go for total control.
 
Tukimfunga Liverpool itapendeza cuz inatupa uhakika wakubaki on top, imekuwa kawaida liverpool kutufunga tangu Klopp kachukua timu. Kwa standard tuliyoset hivi sasa sioni sababu kwanini Liverpool watufunge j'pili. Weka electric atmosphere + tandaza soka safi high line mwanzo mwisho, dakika 90 point tatu zinabaki Emirates.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…