Ni fatherMartinel ameanza kucheza ki father
Nilifikiri nimeliona hili peke yangu.ameanza kuota mapembe nikwakua tu hatuna winga mwingine wa ushindani.Martinel ameanza kucheza ki father
Marehemu wapo darajani.. Vieira anajipigia leo.Leo tumewahi kabisa kabla marehemu hajafa, ili kama ni kuchangia damu tuwepo
Tatizo la kushabikia mpira ukubwani
- Ili mshinde mumfanyie sub haraka huyo Gabriel
- Fungeni nne maana lazima Son afunge, Richalson
- Tena mkizemebea Kane ataongeza na Son 2
Sijui kwanini arteta halioni hili tatizo ambalo linajirudia sana kwa Ben.Hii mechi inamuhitaji Tomiyasu, yale makosa tuliyofanya mechi na MANU yanataka kujirudia.. Ben White ni Mzuri ila kwa pembeni hapana aisee... Kuna mufa anajisahau anaufinya uwanja. Spurs wanapita kama sebuleni
Andika vizuri mbwiga weweNyie Arse8 munatakiwa mupumuliwe haswa
Aahh.. Ni kufunika kombe tu mzee, watakuja hapa na lugha zao mbovu, wao ndio wanajua mpira na nini, sisi wengine ni vilaza tu.Me sio mshabik wa Gunners.. Lkn nilipita humu nikaona mtu anasema Partey ana low IQ dah namuangalia Partey leo hlf najiuliza huyo jamaa aliyosema ayo alikua serious au utan au uwa anaangalia game gani.
Mbwa mwenye KARSENYETO MKISHINDA LEO MNIITE MBWA NIMEKAA PALE
Arteta anatakiwa aanze kumpa dakika kumi marquinho.Nilifikiri nimeliona hili peke yangu.ameanza kuota mapembe nikwakua tu hatuna winga mwingine wa ushindani.
Anao anao saana, unaweza sema anacheza gombania goli.Martinel ameanza kucheza ki father
Mbwa kokoππARSENYETO MKISHINDA LEO MNIITE MBWA NIMEKAA PALE
Rudi darasani.Nyie takataka muna timu ya kawaida sana .. arse8 hii kubeba ubingwa labda Yesu aludiπππ
Tumekupapasa wewe sasa na kidole kirefuLeo lazima mpapaswe tena nyie fisi maji , nyie ni wa kupapaswa Tu mkikutana na timu za kiume