Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Defence haijatulia kiukweli, kuna through balls nyingi zinapita, Gabriel umakini wake uwanjani mdogo, haswa akiwa kwenye box, hakuoaswa kufanya alichookifanya.
Mara zote hua anatugharimu ila mara nyingi hua hazionekani kwa kua tunacheza na timu ndogo ambazo hata akifanya makosa yale yale ya kujirudia miaka yote hua tunauwezo wa kupambana na kushinda, lakina Gabby ni yule yule miaka yote.
 
  1. Ili mshinde mumfanyie sub haraka huyo Gabriel
  2. Fungeni nne maana lazima Son afunge, Richalson
  3. Tena mkizemebea Kane ataongeza na Son 2
 
Me sio mshabik wa Gunners.. Lkn nilipita humu nikaona mtu anasema Partey ana low IQ dah namuangalia Partey leo hlf najiuliza huyo jamaa aliyosema ayo alikua serious au utan au uwa anaangalia game gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…