Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Usipinge mawazo yake, Ukweli usemwe Alegri ile timu imemshinda na soon atafukuzwa , na nitakuja kukutag hapa, decline ya Juve ilianza toka mwaka juzi,Acheni kujipa matumaini fake na kuanza kuwadharau na kuwatukana wengine, ligi ndefu sana hii yenye jumla ya mechi 38, nyinyi ndio kwanza mmecheza mechi 7 tu na mechi moja tayari mmeshapigwa, mineno kibaaaooo inawatoka utafikiri mmemaliza mzunguko wa kwanza, ninakuhakikishia kuna uwezekano mkubwa Juventus kuchukua kombe la ligi kuliko uwezakano wa Arsenyoko kuingia top 4.
"Muda huwa ni mwalimu mzuri sana"
Hii nukuu yako naomba uishi nayo baada ya muda si mrefu nitakukumbusha.
Na tatizo kubwa hawana kipa mwenye uwezo hata robo tu ya aliokuwa nao Buffon,
Wana mabeki wazee,
Halafu jamaa wale hajajitapa ameelezea uhalisia wa Juve kwasasa
Ni sawa na uhalisia wa man u kwasasa ,imepata matokeo ila mpira wa ovyo na ujanja ujanja ,haijulikan wanacheza system gani, kocha alimtaka Dejong , kamkosa ,mashabik wameliwazwa kwa kuletewa Casemiro ambaye sio chaguo la kocha ndio maana haaminiwi ,anaenda kuwa flop mpya
Mmenunua Anthony anayerukaruka tayari ana kila dalili za kuwa Flop Zaid hata ya Sancho
Hivo uhalisia unaposemwa Sio kwamba Ni kujisifu
Nan asiyejua Juve msimu wa 3. Huu ina struggle