Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Viwanja wanavyo au hawana ?
hata hivyo kutokuwa na uwanja haimaani ni ujinga au ni wajinga yanga walikuwa na uwanja wao wa kaunda
Gwambina wana uwanja wao chelsea hawana
kwa mantiki yako chelsea kwa Gwambina
chelsea ni wajinga
Endeleeni na upenzi wenu wa hizo timu

Hakuna sehemu nilikataza watu, na pia neno langu sio sheria

Ila siwezi kuangalia upuuzi wa simba na yanga,
Ndio maana nikiona game kati ya simba au yanga inacheza
At the same time nataka kuangalia EPL/bundesliga/laliga
Huwa naaga kistaarbu tu, narudi zangu home, kucheki game

Coz, siwezi kuangalia UPUUZI
 
Halafu kuhusu aftv
wanaohojiwa ni mashabiki
hao ndio wanaonunua jersey ndio wanaoingia uwanjani na ndio mashabiki haswa achana na wewe arsenal ikifungwa unakimbis humu jf
wale wskifungwa wanatukana wznarudi tena uwanjani wiki ijayo kuangalia mpira
huo ndo ushabiki ushabiki hauna mipaka ni kama pale tulipokuwa na foward chamakh tukawa tunawaza ubingwa
ndio huo huo wa kumsifia molinga ni hatari hakuna tofauti
 
kila mtu aangalie anachopenda, au sio mzee!
Kuna siku ilikua laliga, barca vs Madrid
Kipind hiko messi ni wamoto, cr7 ni wamoto
Game iliisha 2-2
Yani mpira kama ulienda dakika 50 hivi ulivyokua kasi


Inakuja simba na yanga, kila ukijitahidi kuangalia mpira na formation zinavyoenda yani hauelewi, hawa wapuuzi nini wanafanya humu
Wanakimbia kimbia tu
Wachezaji, control chumba na sebule



Hayati Magufulu, ndio akawachana simba live kule arusha
Mpira mbovo/mbaya mmecheza. Sijaupenda
 
kila mtu aangalie anachopenda, au sio mzee!
yeah ila kusema hicho kitu ni kibaya kisa wewe hukipendi ndio dishi kuyumba
Wanyama alikuja tz akashangaa ndondo cup
hebu vuta picha mtu katoka spurs akafurahia ndondo cup

kuna takataka hapa jf anasema eti mbaya kisa yeye hapendi
 
dstv yenyewe huna unaleta mbwembwe kama slay queen wa tandale
 
dstv yenyewe huna unaleta mbwembwe kama slay queen wa tandale
Canal decoder inaokoa mkuu

Au livestreaming

Ukiconnect na PC na wifi game unakula fresh huku umekunja nne

Maisha sio magumu kiasi hiko mkuu
 
Angalia soksi za dingi ako nae katoboa pia
Si umesema na wewe unataka kutoboa?
Haya nenda katoboe halafu usubiri masela waje kutoboa hicho kidonati chako.
Vitoto vya kiume vinavyojiita Jr sijui kwa nini hua sina imani navyo kabisa.
 
Henry alionesha upeo mdogo wa mpira kimbinu au alifanya makusudi kutengeneza toxic atmosphere by that time ili kocha afukuzwe, kusema huoni progress ya timu kisa haipati matokeo ni uelewa mdogo wa mpira, wanaoelewa mpira waliona uwezo wa mikel toka mwanzo anashinda 2-0 vs United, anachukua FA cup mbele ya City & Chelsea, naweza kukupa clip kama zote za Pep Guardiola akimuhype Arteta on his worst days, Edu Gaspar kasimama na Arteta hata mambo yalipoenda kombo cuz alielewa vision yake.
 
Moja ya michango ya hovyo mno kuwahi kutokea
wewe sio shabiki wa mpira
unafuata mkumbo
shabiki wa mpira hata akiona watoto tu wanacheza atasimama aangalie hata kwa dk 10

dstv kwako inakushinda unadharau mpira wetu
muwe mnaficha ujinga
Mpira wa Afrika tunapendea vibe tu ila we are so low tactically, na wengine hatuwezagi kudowngrade, me ni shabiki wa Yanga ila ni mara chache sana naweza kuangalia dk90 game za Yanga cuz nakuwaga bored kwa mpira usiojali principles. So kusema km ukiwa shabiki utaangalia mechi yoyote, big No, maybe if you're a scout
 
Umeongea hata kukubishia nimeogopa
well done
 
Arteta on Vieira’s best role:

“That’s something that still needs to be decided. In those two attacking midfield positions, for sure. He’s played off the side as well, it’s more about the relations he has in the unit and on his side & where he is more comfortable” [via Arsenal]
 
Henry ni mtu wa nje, EDU anajua kiunaga ubaga kinachoendelea pale, katafute interview alipotoa maelezo juu ya sajili za kina David luiz na William ndio utajua edu na arteta lao moja wanajua wanachokifanya, wanajenga timu kwa awamu,kila awamu ni blra zaidi ya nyuma yake mpaka pale wafike wanapotaka wao.

Henry kaishakuwa kocha sasa ana falsafa zake, tayari wachezaji kadhaa alikuwa hawakubali, yeye alikuwa anataka mabadiliko ya haraka edu na arteta wanaenda kwa awamu.

Jambo zuri ni kwamba alipoona sio alisema na sasa kaona safi amekubali, nahisi ni mapenzi yaliyopitiliza juu ya timu yake ya maisha ikawa hivyo.
 
Chelsea na milan kukosa viwanja sio sababu ya simba na yanga kukosa viwanja....
All in all sisi bado sana ktk michezo yote sio soka tu....iwe boxing iwe riadha,

(PP)Poverty&Politics zinatuangamiza.
 
Si umesema na wewe unataka kutoboa?
Haya nenda katoboe halafu usubiri masela waje kutoboa hicho kidonati chako.
Vitoto vya kiume vinavyojiita Jr sijui kwa nini hua sina imani navyo kabisa.
Umedandia mtumbwi wa vibwengo
 
Chelsea na milan kukosa viwanja sio sababu ya simba na yanga kukosa viwanja....
All in all sisi bado sana ktk michezo yote sio soka tu....iwe boxing iwe riadha,

(PP)Poverty&Politics zinatuangamiza.
unajua tumefikaje huku au umekuja na conclusion yako tu ?
 
Hata Pep & Pochettino ni watu wa nje ila mitazamo yao ilikuwa positive kuhusu Arteta kwa uelewa wao kimpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…