FOOTBALL IDENTITY FOOTBALL TRADITION ARTETA BALL NA BUSARA ZA GWIJI
Niliwahi kuongea mara kadhaa football identity (utambulisho kiuchezaji) ni jambo la msingi ambalo arteta alitakiwa kulijenga
sababu mwishoni mwa unai team ilikuwa inacheza tu bila utambulisho tunacheza mpira aina gani
uchezaji wa aina ile ni ngumu sana kukupa unachohitaji technicall una approach vipi mchezov tacticall una occupy vipi space
defending shape, defending transition , ball progression, passing pattern nakadhalika vitu vyote hivi vinahitaji
wachezaji sahihi na ndio maana Arteta ili apate mpira wake alikuwa anahitaji ilimbidi kufanya overhaul ili kupata wachezaji ambao kimsingi watampa tacticall and technicall balance kupata mpira wake
mfano partey anamtumia kama orchestrator nikiwa maana kiungo anae cheza akitokea chini pia mwenye ball progression nzuri
arteta kamleta ben white sababu alihitaji ball playing CB akamleta odegaard sababu alihitaji code cheater uwanjani mtu anaeweza kubreak line
kamleta viera nadhani leo umejionea technical player ambae ana verstility anakupa machaguo mengi kimbinu
kaletwa zinchenko unaweza kuona anavyokuwa anacheza asa inverted full back anatupa techicall vision kubwa kwanzia passing lane adi passing angle kufanya tupate space kushambulia maeneo mengi
kamleta jesus nadhani unajionea sio striker tu bali proveder pia anakimbia muda wote kukupa balance kimchezo bila kumsahau ramsadale ball distribution yake ni nzuri mno
yote haya yanafanya sasa tunaanza kuona kile arteta aliitaji unajua alihitaji nini POSSESSION BASED FOOTBALL mwanzo alishindwa sababu technically wachezaji waliokuwepo wengi hawakuweza deliver 100% mahitaji
sasa msimu huu nazani kila mtu anajionea walau 60% mpira arsenal ancheza ni quality football wazungu usema fruidity football
ata game united tuliyopoteza team hiakucheza vibaya ilipokuwa na mpira defensive weakness ndio zilituua
kwa mazingir haya naendelea kusema Trust the process ata kama sio arteta atakae tufikisha nchi y ahadi ila kajenga msingi imara
amigo adios hermanos