Nahisi kuna mchezo nyuma ya pazia unaendelea
Martinel, Jesus, Gabriel
Hapo edu katia ngumu wachezaji waziende kwenye hiyo mechi ya kirafiki
Zinchenko unaambiwa kaumiwa, na timu ya taifa hatakuwepo
Odegard unaambia nae kajichuna kidogo kwenye mguu, leo hatakuwepo na timu ya taifa pia
KUNA MCHEZO UNAENDELEA
Unaweza kusikia baada ya game partey nae kaumia ili abaki London