Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilishasema mkaona naongelea ushabiki arsenal hana kikosi cha kumfunga man U mlivyoona tumepigwa na Brighton,na Brentford mkaona sisi wabovu sawa sawa.

Nimeangalia msimamo wa ligi arsenal na Man U ni tofauti ya points 3 tu.yaani ushindi mechi moja tu.
Kelele za ubingwa zitapungua kwa sasa.

Arsenal timu nyinyi wanazocheza nazo zinakaaga tu nyuma,ndio maana wakaanza kelele.

Wakipoteza mechi nyingine ndio watapoteana mazima.
 
Nafikiri amemaanisha hauna akili kwa hiyo hoja ya kipimbi ya kudai Arsenal kacheza na vibonde.

Kati ya hivyo vibonde unavyovisema viwili vimemnyima point Liva.

Of course HUNA AKILI
Mtaelewa tu taratibu nilimaa Isha Nini vibonde wakubwa Ninyi. Mmeshinda vimechi tudogo mnaharibu amani mitaani. Mtapoteana tu sana humu
Mechi 16 Oldtraford one win, 10 defeats, 5 draws
 
Lengo la Arsenal msimu huu ni top 4 si vinginevyo.
 
yaani matokeo ya leo ni homework itakayomsaidia sana arteta kwenye hizi mbio
 
Your a naked stupid
 
Mtaelewa tu taratibu nilimaa Isha Nini vibonde wakubwa Ninyi. Mmeshinda vimechi tudogo mnaharibu amani mitaani. Mtapoteana tu sana humu
Mechi 16 Oldtraford one win, 10 defeats, 5 draws
kamechi kengine tutakakoshinda ni chelsea
 
Na ni matakata kweli, yameliwa kisawasawa na mbolea
 

Yaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
 
Nilishasema mkaona naongelea ushabiki arsenal hana kikosi cha kumfunga man U mlivyoona tumepigwa na Brighton,na Brentford mkaona sisi wabovu sawa sawa.
Mimi nimesikitika sana hizi bata kufungwa goli 3, leo zilitakiwa kwa kiwango cha chini kabisaaa zipigwe walau hata goli 6.
AsaniWali, AsaniMbuzi, AsaniBata leo zitajisifia sana humu kwa kuweza kuwadhibiti Man United wasiwafunge goli nyingi.
 
Yaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
ndoto hiyo
 
Mimi nimesikitika sana hizi bata kufungwa goli 3, leo zilitakiwa kwa kiwango cha chini kabisaaa zipigwe walau hata goli 6.
AsaniWali, AsaniMbuzi, AsaniBata leo zitajisifia sana humu kwa kuweza kuwadhibiti Man United wasiwafunge goli nyingi.
just a dream na refa wenu wa mchongo.ila hongereni kwa matokeo.its another game at ot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…