Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilikua najiuliza kati ya Arteta na Edu nani ana nguvu katika usajili, ila sasa nimepata jibu
naona Edu anataka kutujazia wabrazil sema sio mbaya
Edu alisema hawez kumleta mchezaji ambaye Arteta hajamkubali ,anachofanya edu anapewa profile husika za mchezaji Kisha anamletea majina Arteta , pia Arteta anaweza kusuggest mchezaji na kumpigia simu, mfano Jesus, ZINNY

Sakata la Auba unaambiwa Kuanzia bodi nzima na edu walitaka Auba asamehewe, ila Arteta akagoma akawaletea matukio yake mengi kwa ushahidi, Ila wakaomba wamuachie ,

Arteta pekee akagoma ,na mwisho Auba akafurumushwa ,

Kaangalia Documentary ya ALL OR NOTHING utajua Arteta ana nguvu kubwa kwenye klabu ,kifupi karudishiwa nguvu alizokuwaga nazo Wenger
 
Pia kuna watu walikuwa wakisema Arteta anachukia baadhi ya wachezaji.

Mimi nikawaambia Arteta hawezi tu kuwachukia wachezaji kuna sababu.

Na ilipotoka hiyo documentary ndo wengi wamemuelewa jamaa ataka nini pale Arsenal.

Pia juzi Arteta kaeleza usuri kuhusu Pepe na kwanini imebidi amuondoe aende NIce. Pepe kakatwa milioni 2.5 mshahara na Nice wtalipa 50% na Arsenal 25% atakaa na wakitaka wamchukue moja kwa moja.

Moja ya positives alizoleta ni mshikamano baina ya wapoenzi na wachezaji sasa hivi ukifika nje ya uwanja ni shamrashamra nyingi na hamasa na uwanja wajaa kama ilivyokuwa pakle Highbury, jambo ambalo hlikuwepo kwa muda kama wa 3 years hivi.

Mimi ni mmoja wa wapenzi wa Arsenal ambae nimeshuhudia mwenyewe tangu Arsenal ya Graham Taylor ambae akamwachia timu Wenger na kisha tukaja kucheza msimu mzima bila kupoteza mechi hata moja yaani Invincibles hadi tulipoingia kipindi kigumu.

Hali hii hutokea kwa kila klabu na zipo clubs sasa hivi zapitia hali ngumu.

Leo mtu hawezi kuniambia kitu kuhusu hii connection ya washabiki na wachezaji kwa Arsenal sasa hivi ipo "very strong".

Na hivyo imeletwa na Mikel Arteta.

COYGs!!

NB: Wapo wakongwe wenzangu wa Arsenal itabidi warudi hapa, Balantanda, Belinda Jacob c'mon guys, Arsenal is back!.
 
🚨Arsenal exploring a deal to sign Danilo. The Gunners are understood to value Danilo at around £18million. Position of Palmerias unknown

(@SamiMokbel81_DM ) Tier 1 🌕

 
Upo sahihi Sasa hivi hata mchezaji akikosea bado anaimbwa

Ona sapoti anayopewa Saliba , magalhaes , Jesus ,Ziny n.k

Kuna Umoja mkubwa Kati ya wachezaji na fans ,
 
#AFC Klabu inafurahishwa na usajili iliofanya mpaka sasa,na haita panic sababu ya injury zilizotokea hivi karibuni.
kama kuna Wachezaji itaongeza kabla ya dirisha la Usajili kufungwa basi watakuwa ni sahihi kutokana na mpango wa muda mrefu wa klabu. [ @charles_watts ]
 
Yale Yale maneno yetu ya Kila mwaka....
 
Vipigo vikianza kuna kenge zitapotea humu
Leo ndio mwanzo wa mwisho wao kukalia kiti cha uongozi wa ligi.
Leo akijitahidi sana ni draw halafu ana mechi nyingine 3 mbele za kukosa ushindi.
AsaniWali, AsaniUbwabwa, AsaniMandondo leo ndio mwanzo wenu wa kutumia mkongojo halafu jumapili mnapasuka si chini ya goli 4.
 
sasa mechi gani ya kukosa ushindi hapo
 
Hahaaha! Jamaa unachekesha kweli.

Tunashinda mechi zote hizo. Hakuna hata mechi ya kutoa sare.
 
Leo ndio utajua hujui
 
sion arsenal akimsajili youri tilesman,kila nikijaribu kujiaminisha hii kitu inakataaa.muujiza pekee.napata wazo huyu mchezaji hayuko kwwnye mipango ya arsenal na anatumika kama smokescreen
 

Arsenal hawezi kulipa hiyo hela (realease clause), more likely watalipa market price. Ila Danilo akilazimisha kuvunja mkataba, basi release clause inahusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…