Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Youri anunuliwe tu, there's no way timu ika rely kwa pancha, unless we need to be a mediocre team, laa sivyo aje mtu wa kumpa Partey competition.

25 million pounds for Youri seems relevant, given that he's just 25yrs old, hata kama mkataba wake unaisha next yr
 
Siku ile edu anajinasibu. Haya maelezo sikuyasikia alisema as if yeye na Arteta ndo kila kitu, na kila kilicho tokea kwenye dirisha lililopita n sehemu ya project yao na bodi imewapo go ahead so wana power..

na alisema pia kwamba bado wapo sokoni na hili ata Arteta mwenyewe alithibitisha so maana yake wao ndo wako front bodi imesha wapa authority so wanawajibika
 
Kwani youri n Dm!? yule nafkir tulikua tunamtaka Kama mbadala wa xhaka
 
El_cholo ni mjanja Sana,,,,alijua huyu jamaa ana record ya majeruhi,,,! Nyie mkajaa kichwa kichwa !!!

Tom PArtey soon ataingia kwenye levo za kina ox, thiago, cavani, keita, n.k! When he is there anaprovide 100%, tatizo pancha !!!! PArtey huyu mnaemuimba hawezi kucheza mechi 8 consecutively,,,,, !! Epl Ni long run!!!

Ingie sokoni chap, au zameni hapo king power mumchukue Ndidi,,, !!

Machungu ya EPL mtaanza kuyaona kwa bwana stive G, mechi zilizopita hana matokeo mazuri, atawakamia Sana na hii mido yenu ya lokonga !!!
 
Jipeni moyo tu, ila pale Trafford mnakuja kula 8 nyingine, kama zile za mwaka 2011.
 
Mkuu Partey hakuwa mchezaji wa majeraha alipokuwa Spain, alikuwa anakichafua msimu mzima labda akae nje Kwa ajili ya squad rotation tu

Kwahiyo kusema El cholo ni mjanja kumuuza jamaa kisa anajua ni Mzee wa Pacha sio kweli, na istoshe jamaa hakutaka kumuuza bali Partey mwenyewe tu alifosi kuondoka

For the record jamaa amekosa mechi 6 tu Kwa sababu za majeraha akiwa pale atletico, na ametumika miaka 3 mfululizo non stop bila kuwa na shida yoyote ile

Me nadhani nahisi labda Issue yake na ndugu yake Essien zinataka kufanana, labda umri wao wa ukweli na ambao sie tunaujua ni tofauti na kupelekea kupata matibabu tofauti na umri wao

Inawezekana ndio ikawa mwisho wake umefika sasa, hapo ata atibiwe vipi itakuwa ni swala la mechi 4-5 wahuni wanagusa tena jeraha anarudi kutibiwa
 
Masaaa yamebak, naona tetesi zinaendelea, kwahiyo Partey na Mo wasingepata majeraha usajili ulikuwa imeisha ee
 
As per journalist Nicolo Shchira, Arsenal are closing in on the signing of winger Mykhaylo Mudryk from Shakhtar Donetsk. The Gunners have agreed on personal terms with the player for a contract until 2027 and could seal a €30 million move in the ongoing transfer window.
 
Ger

Astonvilla anakufa vzr mido hata akikaa Ben White

Na pass zitapigwa 500+

Tuna option nyingi za kucheza Kati Kati

Japo kusajiri lazima,

Huyo lokonga unayemuona mbovu, msimu Jana baada ya kupoteza game 3 ,yeye Ndiye alikuwa kiungo kwa takriban mech 10 tukipoteza 1 na sare 1 au 2

Shida ya Arsenal haikuwa Partey pekee ,tulikuwa na Shida pia ya LB na RW Nafas ambazo zimezibwa

Pengo la Partey ,mudy alilikamatia vzr kwa uwezo wake had akaongezewa MKATABA

Ndio maana mech na Fulham amecheza mudy na Timu imemilik mpira kwa 70+% na pass 500+

Tunahitaji mbadala wa Partey wa muda mrefu , Ila hizi mech kina Astonvilla,Fulham, n.k Lokonga anacheza vzr tu

Although Mikel Arteta & Arsenal would like cover out wide, a midfielder will be their priority. [@NickAmes82, Guardian] #afc
 
Excl: Southampton are closing in on Ainsley Maitland-Niles deal. It’s set to be completed on loan with buy option as Arsenal contract will be extended.
#SaintsFC

Talks ongoing on player side, then medical soon to get the deal done.
 
So kwa hizi tetesi


Kila mahari tumepeleka ofa


M nasubir saa situ tu ndo nitajua mbivu na mbichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…