Dogo anajua balaaKeep an eye on top talent Mychajlo Mudryk. Everton had €30m verbal proposal turned down by Shakhtar Donetsk last week.️#EFC
Arsenal have explored conditions of Mudryk deal few days ago — but just on player side. Many clubs want him, one to watch until the end. #AFC
Champions ligi eeeh?Arsenal itashinda vikombe vya Champions league mara nyingi kwa hii miaka kumi ijayo kuliko timu yoyote, na hutoandika tena huu upuuzi, mark my words.
yaaap jamaa inabdi apunguze izo mistake kbsa upo peke yko na mpira afu watetemeka tetemeka badala ya kuachia mpira kwa wenzakoHakuna aliyemponda but fans wanaamini this season hizo mistake aachane nazo aongeze concentration muda wote akiwa uwanjani sio mara moja kufanya mistake ambazo zilikuwa cleared na wenzake hakuna anayemponda but ukweli lazima aambiwe na umemfikia imagine jana angefanya mistake hiyo dk 80 si ingekula kwetu?at least alifanya dk 56 so time ya kurecover ikapatikana
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kaka kwani brazil Ya pele haijawhi kufungwa? Ya kina zico, Romario, vipi kina dinho na de lima?Kwani Partey tangu aje Arsenal,Timu haijawahi kufungwa na yeye akiwepo uwanjani?mbona mnamkweza kana kwamba bila yeye Timu haiendi!!kimsingi Elneny alifanya kazi nzuri tu na hilo pengo kubwa la Partey labda uliliona wewe!!!hebu acha kumfanya Partey kama Mungu wa Arsenal,huo ni ushabiki maandazi
Binafsi ninawish mno, Zaha & St.maximin nawakubali.Kuna tetes za mbali za zaha kwenda arsenal au Chelsea dk za mwisho
HUYU jamaa tukimpata nitafurahi
Namkubali toka yupo palace ile mara ya Kwanza , kipind Wenger kamtaka akiwa championship ,akaenda man u akawa flop
Akija Sasa hivi itakuwa balaa
Inasemekana hata kesho anaweza asiwepo ,
HUYU jamaa akisikiaga arsenal tunamtaka huwa anachanganyikiwa kabisa
Inasemekana anajiandaa ku hold request ya kuondoka
lazima nyumbu akae, tunaomba ashinde vs Leicester city ili wajiamini zaidiFimbo atakazopigwa nyumbu jpili sio chini ya nne
Yan first half 2, second half 2
Japo Leicester city game zote walizocheza, nimeziangalia.lazima nyumbu akae, tunaomba ashinde vs Leicester city ili wajiamini zaidi
Next season tutachukua ligi bila kufungwa, invincibles. Inaumaa eeh?
CryJapo Leicester city game zote walizocheza, nimeziangalia.
Wamepiga mpira wa kiwango duni sana
Game na Chelsea,
Ndio Leicester nikasema hawa washakua wapuuzi
Ila sitashangaa wakimgeukia nyumbu
Arthur Melo au kiungo gan anapatikana sokoni kwa sasa?Gutted for Mo Elneny, a player that always gives 100%. Wishing you a very speedy recovery @ElNennY
Mpe Nafas usimpe hatalalamika ,atapiga kazi bila shida
Now Arsenal wanaangalia UWEZEKANO wakushusha kiungo mpya
Je atakuwa Nan?
Hili ni tatizo sugu la hii timu, just 4 games majeruhi yameanza.Gutted for Mo Elneny, a player that always gives 100%. Wishing you a very speedy recovery @ElNennY
Mpe Nafas usimpe hatalalamika ,atapiga kazi bila shida
Now Arsenal wanaangalia UWEZEKANO wakushusha kiungo mpya
Je atakuwa Nan?
Arsenal itashinda vikombe vya Champions league mara nyingi kwa hii miaka kumi ijayo kuliko timu yoyote, na hutoandika tena huu upuuzi, mark my words.