Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unadhani sergio hiyo kazi ni pekee yake.. Katika mpira kuna pairs.. Mmoja akitoa boko mwingine anakuwa katika wakati mgumu, sergio shughuli yake ilikiwa nyepesi na kina xavi, je busquets huyu ndio yule!?
Sergio ni single pivot player toka kipindi cha pep Guardiola, hata kwa sasa Barca wanatumia 433 under Xavi, role ya Sergio ni kama Partey at Arsenal.
 
Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,

Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
 
Ndio maana mimi na wewe hatuelewani, na hatutoelewana, tuache km ilivyo mkuu, mie nazungumzia tactically we unasema namzungumzia individual.

Umesahau xhaka kacheza pale ndio alikiwa anaenda kupokea mpirani kwa kipa au beki za kati then mabolo likolo yakawa yanazaliwa. 😂
 
NILISEMA JUZI MARTINELLI ATAMUHARIBIA FOFANA BEI ,

Leo Nizaar kinsela mwandishi wa habari za Chelsea Kutoka Standard sport anasema

Wesley Fofana has informed Leicester City of his desire to move to #Chelsea, growing frustrated with the price tag set for him.

[via @NizaarKinsella]


The defender fears that #Chelsea could walk away from a deal after his performance against Arsenal at the weekend.

[via @NizaarKinsella]

Martinell Mungu anamuona , kashusha Bei ya Fofana🤣🤣
 
Sergio ni single pivot player toka kipindi cha pep Guardiola, hata kwa sasa Barca wanatumia 433 under Xavi, role ya Sergio ni kama Partey at Arsenal.
Hujajibu swali, unadhani alichokuwa anakifanya sergio hakina msaada wa kina xavi? Akicheza na beki maguire, kiungo mctominay atafanya kwa usahihi anachofanya!?
 
Kuna tatizo huenda jamaa limemkumba, Siku hizi kumekuwa na shida nyingi ,ndio maana hate matukio ya watu kujiua ,kuua ,yamekuwa mengi,
 
Kuna tatizo huenda jamaa limemkumba, Siku hizi kumekuwa na shida nyingi ,ndio maana hate matukio ya watu kujiua ,kuua ,yamekuwa mengi,
 
Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,

Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
kutofautiana na wewe kimtazamo nimekuwa na matatizo ya afya ya akili? unaonesha ni namna gani ulivyo amateur. Im saying again You're not professional,
 
kutofautiana na wewe kimtazamo nimekuwa na matatizo ya afya ya akili? unaonesha ni namna gani ulivyo amateur. Im saying again You're not professional,
Kuwa na tatizo la akili ,wengi tunapuuzia had serikari ,wanafumbia macho, ndio maana matatizo, ya watu kujiua ,kuua,kufanya Mambo ya ajabu , yamekuwa mengi, wewe unajiona upo sahihi .
 
Kucheza pale sio sababu, Xhaka ni double pivot player, akicheza hapo wanakuwa wawili kwenye pivot area, sio single pivot kama partey, hawafanani role zao na ubora wa Xhaka ni build up phases lazima aende kupokea, wewe unatoka kigoma?

Duuh! These mfs know nothing about football and think they know shit. Just average losers.
 
Basi mzee umeshinda, kuanza kutumia lugha za kukashifu na matusi, ni dalili ya kuwa umefilisika kihoja.

Bahati mbaya au nzuri sijawahi kukutusi ama kumtusi mtu hapa, nazungumza yangu, tukishindwana nashika njia yangu, haina haja ya kutoka povu, hatujuani, arsenal haitujui. Labda yabaki masihara ya kufurahisha baraza

Basi nyinyi mkishajua MADHAFAKA mnajikuta kifua mbele kama mmepigwa gumi la mgongo 😂
 
🚨 || Now Rúnarsson has gone on loan, the club are looking to move both Bellerín & AMN on. Could potentially go late into the window [Via - @SR_Collings].
 
Hadi hapa naamini na nyie wenzangu mmeona lugha ya huyu mwamba. Nilishashindwana nae mda sana, ukijibu unaambiwa hujui kitu "mofo", au wewe ni "amacha" huna lolote, mimi nikaona sina sababu ya kufanya argument na mtu yupo vulgar na haheshimu mawazo ya wengine mda wote.
 
Ni wa kumuepuka tu, hasa sisi tusiopenda mabishano..

Anajua MADHAFAKA utamwambia nini, sisi woote ni mofos 😂
 
Mtu usiyejua hata Xhaka anacheza role gani unataka tuArgue nini? Always nikiwaste energy then nikagundua you're just a fool huwa nakudharau mno.
 
Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,

Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
Ingawa mimi ni shabiki wa Nyumbu FC ila hua nakukubali sana hamis77 kwenye chambuzi zako za soka, pia hauko bias unapoelezea au kutoa ushauri katika uchambuzi hata kama unazungumzia timu pinzani, pia kikubwa unajitahidi sana kutumia lugha ya staha, sijawahi kuona kutoka kwako mitusi ya ajabu ajabu (hapa nazungumzia matusi sio ule utani wetu wa kishabiki ambao unachangamsha jukwaa)
Kikubwa zaidi unapoona unabishana na mtu ambae sio muelewa hua unajitoa kwenye mjadala kiustaarabu ili kuepesha kuchafua hali ya hewa.
Natamani kwenye hili jukwaa members wote wa Arsenal wangekua kama wewe, ila tatizo humu wengi wamekosa malezi ya pande mbili jambo dogo tu la kuelewena katika kutokukubaliana wanaanza kuporomosha matusi machafu ya nguoni.
Hongera sana hamis77 usiache kupita kwenye jukwaa letu la Manchester United kuchangia mawili matatu tufaidike na busara zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…