Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
Eti Chelsea B

Kenge kweli wewe ,hukuweka hata mchezaji mmoja wa academy

Huna timu na Leo ukizubaa spursy anapita na wewe
 
Unasema Partey akae na mpira wa nini? Wtf? Unaelewa maana ya holding midfield? Unaelewa maana ya game Control? Unaelewa maana ya possession kwenye Possession based team? Hiyo haya ya kwanza tu inatosha siendelei tena.
 
TOt wakiwaacha salama siyawaelewa kabisa. Nyie ni chakula Yao hao wahuni tu hakuna namna Arif..
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
 
guys mnaona pressing ya chelsea?
Yaah! hiyo ndio maana ya game control, Chelsea ni possession based, ndio maana intensity unaiona kwenye structure, sasa tukiongea humu watu "Arsenal this, Arsenal that"

Mtu anakwambia sio lazima kuwin possession, wakati principles za uchezaji wetu zimerely thru possession, WTF!
 
any way kama chelsea asiposwitch kutumia longballs na couter sioni akishinda hii game,kante na joghi wanafanya kaz ya maana.pia lofteen cheeek na cucurella wanafanya kaz yao vizuri.
ila chelsea wangetaka kupata the best out of raheem wangesajili striker halafu jamaa akarudi winger
 
moja kati ya team ambazo huwa siziwazii ni spurs
Spurs anacheza kama nyumbu B

Huu mpira anaocheza Chelsea, akija kwa arsenal inabid abadilike
Saliba white Gabriel hawacheki na kima pale nyuma ata kidogo

Beki za Chelsea zinavyokatika na kupanda sana mbele, tutakuja kuwafanya vibaya sana

Mido ata akiwa xhaka huwa tunawakamata vizuri mno Chelsea

Sipati picha hili kombo la sasa hiv, ani partey xhaka, zinchenko, odegard


Alafu kingine Chelsea ni kama demu wetu huwa tunajipigia ata timu yetu ikiwa tia maji tia maji

Will Jr
Trust the process kweli jana kuna makosa mengi yamejionesha.
Hope arteta atayafanyia kazi
 
Conte sio mzuri kwenye build up, Tuchel analijua hilo, that's why chelsea's intensity ni kubwa mno pale Spurs wanapobuild play, Spurs need to go long.

Mtu akisema Conte atachukua ligi huwa namshangaa, huwezi kuchukua EPL if you dont excel in all facets of play. Hii ligi imeendelea zaidi tactically sio kama alivyokuja 2016, hata kucheza na Brentford / Brighton tu mlima mkubwa siku hizi.
 
Kuna wehu wanaamini Spurs Ni title contender,

Anazidiwa vile na Chelsea , Everton alibishana na chelsea mwanzo mwisho

Spurs Ni mviziaji TU

People say Conte likes to control the game off the ball but his team end up conceding chances after chances after chances. That's not control. That's called riding your luck.

True control without the ball limits the opposition capacity to create meaningful scoring opportunities.
 
guys mnaona pressing ya chelsea?
Ulimuona alipocheza na Everton ? Au akicheza na arsenal anafanyaga wapi hiyo pressing?

Ndio muelewe Spurs hamna kitu, Ni timu inayotaka kushinda kwa counter attack only ,no plan B

Cha ajabu Kuna wachambuz wanaipa ubingwa kabisa
 
Mkuu una over think sana mpaka unakuwa km vile kwenye meditation. Huwezi kuwa perfect kwa kila kitu ila kuna kitu kimoja kikubwa ambacho kinakufanya uonekane mahili katika position yako. Magalhaes & Partey ni mahili katika nafasi zao kwa uchezaji wao ndio maana wanaonekana wazuri ukilinganisha na wengine
 
Control inahitaji perfection, without perfection you can't control games, control is the key of the game, ni kama maji, ni kama oxygen kwenye maisha ya mtu, haya mambo naona labda hatuelewani tu.

Unachosema ww ni sawa na timu ya Diego simeon inayocontrol game thru counter attack & defending deep kutokuwa compact kwenye blocks zake afu wewe ukasema" oooh bro its ok kutokuwa Compact within blocks, ili mradi tunacheza mpira" WTF!

Nachozungumza sio kwamba natunga ni kitu ambacho hata Mikel anazungumza kila siku, fuatilia mambo.
 
Sikupingi ila Mambo mengi unayoongea yanatafakarisha aisee

Arteta Ni kweli kila game ana demand matokeo ,Ni makocha wote .
 
Chelsea akikutana na Arsenal ,tunamkabiaga juu

Mfumo wa back 3 dawa yake huwa moja TU OVERLOAD

unawapin wale wingback , kule mbele unazuia wasianze buildup ,

Pale Kati wanabaki viungo wawili , halafu LB anakuwa CM jumlisha na viungo wawili unakuwa na viungo jumla 3 kwa wawili ,
 
Ok sawa nakubaliana na wewe kwamba ili kudhibiti mchezo kunahitaji usahihi, lkn je namna ya kudhibiti mchezo inafanana kwa michezo yote au inategemea na mpinzani wako na mpango wa mchezo??

Turudi kwa wachezaji unaowasema specifically kwa Partey, Partey ni DM, ana uwezo wa kukaba, ana uwezo wa kupiga pasi kwa usahihi na ni mnyumbulifu. Amekuwa akifanya kazi nzr ya kuiunganisha timu kutoka kwa mabeki kwenda kwa washambuliaji. Hivyo vitu vimemfanya aonekane yuko perfect kwenye position yake.

Sasa ebu niambie according to wewe unapotaka Partey a-hold mpira unatarajia nini kitokee??. Nijuavyo mimi ni kwamba unapohold mpira lzm uwe na movement ya haraka ili kurusu utengenezaji wa nafasi kwa wenzako. Sasa huoni km atasababisha wapinzani kum-press kwa kuwa anakuwa kwenye zone yake??
 
Unasema Partey akae na mpira wa nini? Wtf? Unaelewa maana ya holding midfield? Unaelewa maana ya game Control? Unaelewa maana ya possession kwenye Possession based team? Hiyo haya ya kwanza tu inatosha siendelei tena.
Mkuu DM unataka a-hold mpira wa nini? 8 & 10 watafanya kazi gani? A-hold akiwa eneo gani??
 
Nasubiri ifike zamu yako halafu uje uongee hizi pumba zako hawa Spurs si ndo kakuzuia ww kuingia top 4 hawa Spurs si ndio alimpiga Man city kwake na kudroo na Liverpool pale anfield

Hizo mechi mbili ulizoshinda zisikupe jeuri ukaona mko bora kuliko wengine ligi ndefu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…