Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gab alikuwa awe na hattrick ,au goli 4 Kabisa, 2 chances sijui kakosaje

Moja alikuwa na uhakika , ya 2 direct kutoka kwa Ramsadale
 
so far so good,ila katika mech dhidi ya big six kila nafasi inayopatikana lazima itumike effectively la sivyo mnaweza kushikana uchawi.kwenye game dhidi ya big six mnaweza kujikuta mech nzima mnatengeneza only one or two clear chance.zisipotumika vizuri mwisho wwa mechnajikuta mnaanza kulaumiana .
 
Back
Top Bottom