Chelsea ni timu mfu, ndio maana wachezaji wanaikataa.Kuna watu mna masihara na ligi ya uingereza yan hiki ndio kikosi kikapambane na Chelsea, Liver na Man City kweli?
Kikosi hikihiki si ndio kilikukojolea goli 4 preseason na Ligi tulikupiga goli 4 ama kweli wewe ni kengeKuna watu mna masihara na ligi ya uingereza yan hiki ndio kikosi kikapambane na Chelsea, Liver na Man City kweli?[emoji23
Wewe kina nketiah tu walikulamba 4-2Kuna watu mna masihara na ligi ya uingereza yan hiki ndio kikosi kikapambane na Chelsea, Liver na Man City kweli?
Tunaweka risiti ,yaan unaiamin hii Chelsea ambayo kosakosa Kama zote? Hi Chelsea inayosajiri mabeki na kulanguliwa sokonTop four yangu
1. Liverpoool
2. Chelsea
3. Man City
4. Spurs
5 & 6 wanaweza kugombaniana kati ya Arsenal, Newcastle na West Ham
Ngoja leo tumpe kipigo palaceAaron Arsenal
hamis77
Nyie watu njooni jukwaa la wakubwa wenu Chelsea muendelee kupiga ramli. Wasindikizaji wa ligi kazi mnayo leo Vieira anawawashia moto
Jidanganye ,Arteta kasema tunaanza kwakukaa top of the table ,Sijui kwanini arsenyeto uwaga naona timu ya kawaida sana yani.
Prediction
Crystal palace 2 arsenal 0
Kiukweli siwaoni hata top6Manure?
Nitajie mchezaji aliyeikataa Chelsea. Njoo na uthibitisho hapaChelsea ni timu mfu, ndio maana wachezaji wanaikataa.
Acha kuiweka kwenye kundi la timu za maana.
Mkuu ile mechi ya kirafiki ndio unaileta kama reference hapa?Kikosi hikihiki si ndio kilikukojolea goli 4 preseason na Ligi tulikupiga goli 4 ama kweli wewe ni kenge
Matokeo ya pre season bado yanakulevya huoni kitu mbele. Ngoja Vieira akutekenye leo ndio utajua yaliyomo yamo au hayamoWewe kina nketiah tu walikulamba 4-2
Kina Jesus ilikuwa ule 8,
Yaan chelsea hii ya panic buy ,Isiyo na CF wakueleweka bado unaiamin?
Endeleeni kupiga poyoyo humu,Ile ilikuwa ni preseason mlidhani ligi yenyewe haitafikaaa π π π leo mkifa chache ni 2
Kirafiki wakati wahezaji was Chelsea wanakwambia ile sio friend matchMkuu ile mechi ya kirafiki ndio unaileta kama reference hapa?
Tukutane kwenye ligi
Kwa hiyo waliotoa hiyo pesa ni wajinga? Mbona huyo huyo Pep aliuziwa Grealish kwa paundi million 100! Hakuna unachojua kuhusu hizi biashara na kila usajili ni kamari. Ukilielewa hilo wala hautaumiza kichwaTunaweka risiti ,yaan unaiamin hii Chelsea ambayo kosakosa Kama zote? Hi Chelsea inayosajiri mabeki na kulanguliwa sokon
Unauziwa Cocurella mwenye assist 1 na goli 1 ,sawa na Nuno TAVARES kwa package ya Β£62m?
Hivi mnadhan pep mjinga kugoma kutoa Β£40m+ ?