Inauma eeh kuona Arsenal inashindaYani arsenane ni chalie chaplin kabisa! Ubebe ndoo ya Epl kisa kushinda vimechi vya preseason
ila arteta yeye km hana iyo hofu kbsa aseee alete back up yke mapemaKiukweli kuna mabadiliko nayaona kuanzia kuzuia tokea juu, mchango wa striker, katika kushambulia na kukaba, ila nahofia saana majeruhi ya partey ambae ndio msingi wa timu.
ha haaaaaaa mandonga tenaNakubali anavyoanza kuwa na adabu kama hiz
Kuhusu vikombe ondoa hofu,
mfano mdogo ni FA huwa kinatutaka chenyewe
Huwa atutumii nguvu kubwa kukikamata
Europe bado sijaona wakustahimili fimbo ntakazo tembeza
Ligi ndio kiatu kiatu, mtu kazi, bendera ya kuzimu hadi kieleweke
Mkuu nikupe tu habari, sasa hiv partey anapiga outer(Kofi)
Unaweza ukasema modric amefikaje huku
Bora ukutane na mandonga lakini sio arsenal hii
oya ivi mustafi kapotelea wap aseeeeInauma eeh kuona Arsenal inashinda
Hii Arsenal ya Fabio Vieira na Jesus, zama za Mustafi zimepita, amka.
Sijui anajiamini nini wakati suala liko waziila arteta yeye km hana iyo hofu kbsa aseee alete back up yke mapema
Europa tunachukua, EPL kitachotumaliza ni injury, without injury Liverpool & City wakikaa kizembe tunachukua.
Preseason ndio wakati wenu wa kutamba. Tumeshawazoea kila msimu, kuna Ars88 ilikua y moto km ile y kina ozil na sanchaz bado mkaishia matupu,ndio uniambie ya sahz tena kocha mweupe kichwani ....... Arsenal ni ile ile.
Wewe acha kuzurura kwenye majukwaa ya watu wakati forward line yako Ni Martial na Rashfordsawa mabingwa wa Europa msimu wa 2022-2023
Mimi ushauri wangu ni uleule tu msimu huu msipochukua kombe mtafute kocha