Mikel anaweza kutumia 4-3-3 na 2-3-5/3-2-5 in possession
Ujio wa Zinchenko unairuhusu Arsenal kutumia inverted full backs wawili ambao ni Tomiyasu na Zinchenko. Ambapo katika 3-2-5 Tomiyasu anaungana na Gab pamoja na Ben huku Zinchenko aki invert na Thomas katika kuunda double pivot na Zinchenko huku Adv 8's wakiwa katika half spaces
Katika final third Arsenal wanatumia mfumo mmoja sawa na Barca, Man City ambapo Saka,Mahrez,OD wote wanatumika kama isolation wingers katika kutafuta 1v1 na katika left wing Arsenal hutumia combinations kutengeneza triangle namna Ile Ile City na Barca wanatumia katika vilabu vyao
Mpira umebadilika na hivyo majukumu ya wachezaji. Winga sio kupiga krosi/kulisha kama zamani wanapaswa kufunga na kutengeneza. Mimi binafsi naona katika structure mpya ambayo Mikel atatumia, anaweza kuwatumia viungo ku attack spaces kama City wanafanya kwa wings/8 ktk final third
Nafikiri anahitajika attacker mwingine lakini sio pure ST pengine labda RW pamoja na RB kwa sababu ya ku manage dakika za Saka kumuepusha majeraha pamoja na ku deal na majeraha ya mara kwa mara ya Tomi na sio lazima dirisha hili hata January na uzuri wa Jesus anacheza RW, LW, ST
Na hata kama Jesus akipata majeraha ya muda mrefu Arsenal wanaye Martinelli ambaye anaweza kuziba pengo kwa kipindi fulani, na Mikel anaweza kubadilisha mfumo kuendana na wachezaji waliopo. Ku adapt katika nyakati ngumu ndicho kinachokufanya kuwa elite
Blueprint is there, quality players are there, the process is over, the club needs results, Mikel Arteta is growing into a tremendous manager and he has a bright future ahead.