Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,999
- 6,630
ARSENAL YAFANYA SIRI KUHUSU JINA LA WINGA INAYEMUWINDA
Fabrizio Romano huwa anafanya mijadala Youtuble na Que Golazo hasa kila jumatano, , Fabrizio ameongelea swala la Martinez, anasema leo amerudi Ajax kwa ajiri ya preseason ,na ameomba Kuondoka akacheze EPL, anatakiwa achague kati ya Arsenal na Man u, ila Man u wanafaida Sababu ya ETH alikuwepo hapo Ajax, Lakin Arsenal pia Wana nafasi Sababu Ya project yao.
Amesema Kuna dalili za Winga anayelengwa na Arsenal, lakini anataka kuifatilia hiyo habari.
Mwisho aliipongeza Arsenal kwa kufanya kimya
Huyu Ni mbadala ya Raphinha, tutamjua siku za karibuni.
Wengi wanahisi labda Asensio, au Mousa Diaby,.
Ila tusubiri Tuone, Maana hata Fabrizio hajapata jina ila anasema Kuna dalili Arsenal wanasaka Winga.
Mwisho @FabrizioRomano he Said:
"I'm sure Edu is working on something." 😉
Huyu lisandro Martinez ni ndugu na lautaro Martinez mkuu?