computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
FACT Jesus sio mbaya ni anafight akiwa kwenye ground anything can happen asipoperform haitakuwa bahati yake coz usajili huwa kuna muda unaweza usilaumu management wala coach pia kuwa Brazil national player asilimia 100 huyo mchezaji ni class kubwa but sometimes kuna usajili unaona kabisa huu ni wa kipuuzi na mifano ipo okonkwo ,Lokonga but sio kwa JesusNaona ndio unajifunza soka nw unaanza kuwa mtabiri like sheikh Yahaya, big sign ngap zimefeli iwe ajabu huyu mchezaji? Tores from liver to Chelsea, hazard to Madrid, hayo ndio mambo ya usajiri so afunge asifunge mungu ndio anajua bt edu na arteta washafanya majukumu Yao au ulitaka wakusajiri ww babu?
Wew ni mbwaVistatistics uchwara. Akifikisha goli 5 niiteni mbwa.
Mbona bado hat mazoezin hajafunga hat goli moja lakin mmeshaanza.Wew ni mbwa
Si tupo hapa, dogo ni mbovu! Pep alikua anamsitiri sana.Wakati mwingine waga mnapenda kujitoa ufahamu hadi ufahamu wenyewe unashangaa...!
Kwahiyo wewe na Akili zako timamu unadhani Jesus hawezi Kufunga goli 5 pale EPL? au kwakuwa nawewe tu ume comment roho yako iridhike
Alikuwa anamstiri kivp? pep alikuwa hamtendei haki dogo msimu huu mechi nyingi katokea pembeni, kwa nafasi walizokuwa wanatengeneza arsenal na jinsi Auba na laca walivyokuwa wanazingua, mapema Sana dogo anafikisha 10+Si tupo hapa, dogo ni mbovu! Pep alikua anamsitiri sana.
Ndio nakwambia akifikisha goli tano niiteni mbwa.
Sina haja ya kukuita Mbwa mkuu maana haita Athiri chochote kwako, Endapo mtu kichaa ukamuita we kichaa...! hatojali na wala hatohisi kama kuna Baya kuitwa ye Kichaa Kwa maana ni kweli kichaaSi tupo hapa, dogo ni mbovu! Pep alikua anamsitiri sana.
Ndio nakwambia akifikisha goli tano niiteni mbwa.
Hakuna uhakika kama ni Partey, japo tetesi zinadai ni yeye. Na inasemekana ameachiwa uchunguzi unaendelea.Hii habari ya Partey kuhusishwa na ubakaji mbona siioni humu, ina ukweli kiasi gani
I saw it yesterday evening nkaipotezea naona imekuwa serious issue hapa fans wa Arsenal tumekwisha tupo katika dilemma if watadhibitisha ni yeye sababu habari ni either partey or Ben Davies wa Spurs but why partey hayupo GermanyHakuna uhakika kama ni Partey, japo tetesi zinadai ni yeye. Na inasemekana ameachiwa uchunguzi unaendelea.
Sijui kama hawa wazungu watamwacha salama.
Duuuh! Sidhani kama kuna mbadala wa Partey sokoni.I saw it yesterday evening nkaipotezea naona imekuwa serious issue hapa fans wa Arsenal tumekwisha tupo katika dilemma if watadhibitisha ni yeye sababu habari ni either partey or Ben Davies wa Spurs but why partey hayupo Germanykwenye squad without any proper information hili ndo la kujiuliza
Let's wait bro hii taarifa imeshtua fans duniani wa football na juzi tu kabadili dini kwa ajili ya Girlfriend wakeDuuuh! Sidhani kama kuna mbadala wa Partey sokoni.
Kinachoniuma zaidi ikithibitika ni kweli, itakuwa mwisho wa Career yake.
Moussa Diaby anahusishwa na Newcastle, juzi tu nimetaka Arteta amsajili Kmmmk. Bruno G naye walimchukua.Oya kuna huyu mtu anaitwa Diaby RW anacheza leverkusen naona he is the big deal, huyu anafit roles za Saka/Raphinha vizuri.
Amekuwa arrested jana sababu ya rape na hajaenda GermanyNini kimemkuta Partey? Naona Arsenal inahusishwa na usajili wa Douglas Luiz, he is not a good #6.
Dah! Kama ni kweli basi hili ni pigo kubwa sana wanangu wa Gunners tumelipata.Amekuwa arrested jana sababu ya rape na hajaenda Germanyna squad kabakia London but now on wanasema ameachiwa but yupo under investigation
Kwa hiyo asipofikisha hizo goli ww ndio utakua mbwa, haitaathir chochote si ndio?Sina haja ya kukuita Mbwa mkuu maana haita Athiri chochote kwako, Endapo mtu kichaa ukamuita we kichaa...! hatojali na wala hatohisi kama kuna Baya kuitwa ye Kichaa Kwa maana ni kweli kichaa
Kwahiyo kukuita wewe Mbwa ilhali kupitia hii hoja ni teyari unaonesha kuwa wewe una kila dalili 95% kuwa wewe kweli ni Mbwa...! itakuwa ni matumizi mabaya ya Muda
Apo kwanza nichekeSi tupo hapa, dogo ni mbovu! Pep alikua anamsitiri sana.
Ndio nakwambia akifikisha goli tano niiteni mbwa.