Daaaahhh we jamaa unaongeaga ukweli mchungu mpaka mashabiki viazi wanakereka.
Mashabiki wenzio wa Arsenal hua hawapendi kusikia ukweli unaouma, ili uendane nao inatakiwa muda wote uwe unasifia timu pamoja na maamuzi yote ya timu kwa ujumla wake.
Akisajiliwa Makwinyoz unatakiwa umsifie kua ni bonge la mchezaji ambae ndie atakua mrithi halali wa Lionel Messi, amesajiliwa huyo muhuni wa ureno Fabio Vieira unatakiwa umsifie kua yeye ni zaidi ya Bernardo Silva na msimu ujao lazima achukue mchezaji bora wa Epl.
Hapa kuna Martinel, hapo yupo Saka, huku kuna Fabio Vieira, pembeni kuna Makwinyoz pale kuna Lukonga Arsenal msimu huu lazima tuchukue Epl na Europa.
Hii ndio mambo mashabiki wanapenda kusikia.
View attachment 2263630