makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,597
man city wanaogopa ya RVP kwa arsenal baada ya kuhamia man u.nilishasema hapa jesus au man city wanaitumia arsenal kwa pamoja.city wapate transfer fee ya maana na mchezaji apate mkataba wa maana.hii tunaita win-win situation na tusipoangalia arsenal tunapotezewa muda.
jamaa hawana shukrani tuliwauzia nasri,clichy,sagna na adebayor ila wao kutupa jesus wanaona nongwa
Sio kwamba sisi ndo tupo slow sana kwenye deal hili na hata deals zote za Arsenal hua ni mwez mzima hadi mwez mzima
hahaaa naona nunez anasepa,ruben neves anasepa na hata jesus anapotea .tusubir ila its real terrificToka enzi za Wenger, Arsenal ni tamani tamani wanashtuka mchezaji kachikuliwa na wengine.
Yaani ni kwikwi...hahaaa naona nunez anasepa,ruben neves anasepa na hata jesus anapotea .tusubir ila its real terrific
mtu na nusu uyo jamaa namuelewa sanaTuvute kwanza tielemans, huyu jesus kama nina mashaka shaka nae, wakiringa atafutwe striker mwingine tu.
wanaenda waphahaaa naona nunez anasepa,ruben neves anasepa na hata jesus anapotea .tusubir ila its real terrific
We shoga naona ta.ko linakuwasha. Wenzako wote wanajua nyie ni timu y mashoga.Acha shobo mtoto wa kiume utapakatwa mal@ya wewe. Unautaja taja ushoga kwasababu unaupenda.
Njoo tukutatue hizo rinda faller mdogo
Humu kumejaa mapunga, ukiingia humu matusi uyavumilie tu, timu lenyewe linaitwa AsaniWali na mashabiki wake wengi wana akili za kibwabwa ubwabwa tu.Humu mnapenda sana matusi
na wewe kumbe ni mshamba namn hi brazaHumu kumejaa mapunga, ukiingia humu matusi uyavumilie tu, timu lenyewe linaitwa AsaniWali na mashabiki wake wengi wana akili za kibwabwa ubwabwa tu.
Wewe hasa ndio unaleta matusi kwenye uzi wetu!!Humu kumejaa mapunga, ukiingia humu matusi uyavumilie tu, timu lenyewe linaitwa AsaniWali na mashabiki wake wengi wana akili za kibwabwa ubwabwa tu.
farewellLacazette joins Lyon
hii habar iko wapi?Yves Bissouma close to moving to Emirates
[http://img]
YVES BISSOUMA IS VERY CLOSE TO JOINING ARSENAL
The Mali international has emerged as one of the best defensive midfielders in the Premier League in the last few seasons. So Arteta is eager to add the 25-year-old to his roster.
bado ni tetesi, sijaona kama club ipo busy sokoni. ni kama vile hawajui wanachohitajihii habar iko wapi?
Wanaogopascouts wa Arsenal ni kama vibaka, wanakula hela ya bure. una-scout nini kama huwezi kumuona mchezaji kama Cucurella, na kuanza maongezi mapema?