computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
FACT tumeongea sana mimi na wewe but owners are rubbishHakuna timu inachukua makombe kupitia kocha wa senti mbili. Always complaining, I don’t know what people see in him. Too novice, he knows nothing. Huo ndio ukweli mchungu
MAY 22 na pia naapa Mungu yupo next season tutarudi na kauli hizi hizi no way foward wakati Rivals wanaendelea kujaza trophies kwenye Makabati TUKUTANE MAY 22Mimi kama Computerarsenal kuna muda nilihoji Arteta anaweza akatupa big achievements?nikasema I don't see any future kwa Arteta kuwa coach wa Arsenal nikapewa matusi later on nikasema inawezekana ana vision na board ishampa contract nikasema let's see ataleta nini naconclude today result is very painful to Arsenal supporters so I don't know kama kuna fan anaona Spurs atafungwa na Arsenal vs Everton atashinda game yake very painful today
Pole sana mkuu, kuna watu wanaojua mpira sana, watakuambia wewe huna ujualo mkuu.MAY 22 na pia naapa Mungu yupo next season tutarudi na kauli hizi hizi no way foward wakati Rivals wanaendelea kujaza trophies kwenye Makabati TUKUTANE MAY 22
Mimi nimepiga sana kelele since January 2022 nikatukanwa mno na hapo CONTE alikuwa bado mgeni Spurs bro na nikasema TUKUTANE MAY 22 today ni MAY 22 tumejionea hali halisi bro Arsenal kupata Big achievements ni ndoto kubwa Owner knows nothing about football hata now on hajui final position ya Arsenal yupo anapanda farasi USAPole sana mkuu, kuna watu wanaojua mpira sana, watakuambia wewe huna ujualo mkuu.
Ulisema sana toka January, watu wanaona Arteta ni mzuri sana, binafsi hata Emery ana nafuu, ana makombe, ni mshindani...sisi kazi yetu ni kujaribujaribu tu, mara inexperienced coach, wachezaji wa cent tano, utegemee kunyanyua kwapa may. May ni mwezi wa mabingwa...champions play in May...keshokutwa ni ucl, champions tu ndio wanacheza, sisi tutasubiri sana na huyo Arteta.
Kama now on Aaron Arsenal amepotea humu ataibuka na tetesi utashangaa Nketiah kasign contract mpya na siku zitaendaNgoja window ya kununua ianze, utasikia tetesi za wachezaji karibu wote ulaya wanahusishwa na arsenal, mwisho wake tunawanunua kina "tavares". Kroenke ni disgrace kwenye soccer na has arsenal.
Ngoja window ya kununua ianze, utasikia tetesi za wachezaji karibu wote ulaya wanahusishwa na arsenal, mwisho wake tunawanunua kina "tavares". Kroenke ni disgrace kwenye soccer na has arsenal.
Arsenal kupata achievements inahitaji WAARABU or EUROPEAN people sio AMERICAN people Arsenal hapo itainuka imagine Arteta anapewa new CONTRACT na ameachieve nothing for the big team kama Arsenal it means hakuna bosi anayefuatilia ligi wala kutoa hela ya kununua Good players
Nyie arsenyeto nishaambia ukiona timu ina milikiwa na mmarekan,muingereza tegemea maumivu ya moyo timu wape waarabu na warusiArsenal kupata achievements inahitaji WAARABU or EUROPEAN people sio AMERICAN people Arsenal hapo itainuka imagine Arteta anapewa new CONTRACT na ameachieve nothing for the big team kama Arsenal it means hakuna bosi anayefuatilia ligi wala kutoa hela ya kununua Good players
Dah, tavares abadilike aisee, amekuwa akifanya makosa hayo hayo repeatedly. Bado ni mzuri kama back-up, ila kama first choice mmh, bahati mbaya huyo Tierney ni pancha sana.Tavares akipata kocha mzuri, akaondoa udhaifu aliokuwa nao, ni bonge la mchezaji
Mbona Liverpool ipo chini ya wamarekani na wanafanya vizuri sana?Nyie arsenyeto nishaambia ukiona timu ina milikiwa na mmarekan,muingereza tegemea maumivu ya moyo timu wape waarabu na warusi
Wamekuja lini Hao us na imeanza kufanikiwa liniMbona Liverpool ipo chini ya wamarekani na wanafanya vizuri sana?
Pole sana mkuu, kuna watu wanaojua mpira sana, watakuambia wewe huna ujualo mkuu.
Ulisema sana toka January, watu wanaona Arteta ni mzuri sana, binafsi hata Emery ana nafuu, ana makombe, ni mshindani...sisi kazi yetu ni kujaribujaribu tu, mara inexperienced coach, wachezaji wa cent tano, utegemee kunyanyua kwapa may. May ni mwezi wa mabingwa...champions play in May...keshokutwa ni ucl, champions tu ndio wanacheza, sisi tutasubiri sana na huyo Arteta.
Next season we will talk the same issue like this you address here I Swear to GODWith the squad we have, we were capable of getting into top four, our players lost their focus and became nervous. They didn’t know the advantages they had until when the opportunity had fallen in spurs hands
Acha kuwaumbuwa watu bana...Mbona Liverpool ipo chini ya wamarekani na wanafanya vizuri sana?