Kuna some fans mnatetea ujinga wa Coach bila sababu hao mnaowaita rubbish
players wametuweka 5th position up to now but kuna kitu wamekikosa toka kwa Manager zimebaki 3 games kuqualify champions
league why team ianguke namna hii?mind ya wachezaji toka kwa coach ilikuwa ni nini?angalia rivals wetu game ya Liverpool and Arsenal wamepata 4 points sisi 0 points sometimes ni psychology inatakiwa kwa players toka kwa wakubwa bahati mbaya haikwepo na tumeanguka kama mzoga