Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We unataka kuargue mambo ya mpira na mimi! Kwamba Arsenal iwekeze pesa! Hivi ukiachana na Allison & Van dijk kuna mchezaji gani wa Liverpool mwenye bei special Arsenal wangeshindwa kumnunua?
.Mo salah kutoka Roma ?
.Sadio Mane kutoka Soton?
.Luis Diaz ?
.Fabinho?
 
We jamaa hua unaongeaga point kinoma, unawabananisha wenzio kwa maswali ya IQ kubwa, wakikosa majibu wanaanza kukudhihaki na kukutukana kisha wanakuita mamluki.
computerarsenal ulikosea sana kuwa shabiki wa hili genge la Kroenke.
 
Kwahiyo unadhani wale mashabiki wa Blackburn Rovers na Nottingham forest na Newcastle wote hawajui??? This is football!

Sisi ni washabiki wa Coastal Union n tulishinda kombe la Tanzania 1988 ila hutuambii kitu na timu hii na Sisi sio wajinga
Sure, loyalty is not grey, it is black or White. Few will understand.
 
Sure, loyalty is not grey, it is black or White. Few will understand.
Yes! And we have taken some serious oaths on this team. We will go with it no matter what! Yes, it pains us, so much! So much that one can't imagine. But we will remain Gunners forever
 

Basi let's agree to disagree kwamba Arsenal kuna shida kwenye scouting! Isn't it?
 
Kwasababu ya mifano yako ya juu jinsi ulivyonijibu unavyoshindana na Timu kubwa lakini unapata shida kwa Kina Newcastle and other Teams za bottom half of the table.

Hii ni small Team Mentality
Newcastla hatakiwi kumfunga Arsenal? If yes, why?
 
Huwa nashangaa sana shabiki wa timu ambaye anatumia majukwaa haya kutoa lawama kwa arteta ama bodi nzima ya arsenal kana kwamba hawa watu wapo humu..

Mi nadhan tunapaswa kuangalia kiufundi na kiuhalisia performance yetu kwasasa na siku za nyuma ipoje, pia nini tunapaswa kufanya ili walau msimu ujao tuweze kufika ata top 4..

Lakin pia ni kweli timu hizi tunazipenda lakin hatuna mamlaka nazo katika maswala ya kiuongozi hvyo tunapaswa kukubaliana na ukweli mchungu ya kwamba tupo kwenye kipind kigum cha ushabik Zaid ya miaka 19 sasa, hvyo si vyema kutoa maneno yenye kuumizana moyo katka kitu ambacho hatuna uwezo wa kubadili chochote.

Tukishinda tufurah tukifungwa tuuzunike na maisha yaendelee ata man city na chelsea wamewah pitia kipind kigum kama hiki kikubwa kuukubali ukweli kwamba tupo pabaya na tutapita
 
Newcastla hatakiwi kumfunga Arsenal? If yes, why?
Kupata matokeo mabaya hasa kwa michezo muhimu inaumiza sana lkn nadhani kuna muda watu tunasahau uhalisia wa mpira/michezo. Kila timu inaweza kupata matokeo chanya kwa mpinzani wake bila kujali mpinzani ni mkubwa kiasi gani. Local fans tunashabikia kihisia kuliko kiuhalisia
 
Huyo jamaa hana tofauti na OllaChuga Oc
 
Ukweli mchungu huu. Kikosi kimekosa maturity na discipline kuanzia kocha. Tumeamua kuwapa muda wapevuke so acha tu tuumie. Chance tumeipambania mpaka tukaishika mikononi halafu tukaiachia tena wenyewe
it hapen for reason or incident
 
it hapen for reason or incident
Binafsi simlaumu arteta kwa mahali alikotuacha bali nampongeza kwa sehemu aliyotufikisha.matarjio makubwa yasipofushe uwepo wa kile kilichofanyika.

katika maisha nimejifunza potential ya walimu muhimu sana ambao wanahusika na kila eneo katika maisha.walimu hao ni TIME na EXPERIENCE.hawa hawapatikani kwa pesa ila wanakuja kwa uvumilivu.

Arsenal inatofauti kubwa moja na baadhi ya timu nyingine zenye mafanikio tunayoyatamani.arsenal kuna CULTURE ambayo kila kocha,mchezaji au trainer yeyote lazima aifuate.its not only style of our game but its the way we live in our way.
 
Ila timu kubwa inapata matokeo chanya kwenye mechi nyingi ili iwe bingwa au ishike nafasi nyeti za kushindania makombe makubwea. Timu ndogo inapokonywa points nyingi na timu ndogo na kubwa na hivyo kuifanya niwe kwenye position mbaya kwenye table. Hiyo fact ni vyema pia uiseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…