Arsenal (The Gunners) | Special Thread

..dah! ndungu zangu tukubali tu..msimu uliopita tulimaliza nafasi ya 8..angalau tumepiga hatua kidogo msimu huu nafasi ya 5...kiukweli kwa timu yetu jinsi ilivyo Europa League ndo level yetu..#coyg
Hili la msingi sana, tulimaliza 8th msimu uliopita, msimu huu tumepanda hadi 5th. Hatuna sababu ya kujiumiza sana, ndio nafasi yetu hiyo.

Hata hivyo, isingekuwa Conte effect 4th spot ingekuwa yetu, kumbuka kabla ya yeye kuja Spurs timu ilikuwa imeshapoteana kabisa, huyu jamaa anajua kuleta positive impact kwa muda mfupi sana.
 
Kocha wanaye mzuri sana, ila sasa wachezaji.......
 
Ulishajiapiza viapo vya kila aina lakini sasa cha ajabu maumivu yako ni furaha kubwa mno kwa unaowategemea kukupa faraja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…