Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Saa zingine wachambuzi uchwara wanajikuta wanajua mambo ya soka na maisha ya wachezaji kuliko hata wachezaji wenyewe. Partey kagundua kuwa atakosa mwanzo wa pre-season. Ikabidi aulize kwa nini 😀😀😀
 


Ni kweli, ila daah. hehehe.
Tutafute nafasi ya kupoteza hizo semis kwa kumuua Sp*rs leo
 
Acha niache kupost. Last time nimepost sana kabla ya game Crystal Palace walitutandika 3-0. Bad omen.
 
Leo mkishinda kitabu cha top 4 inafungwa
Mimi naombea droo au mfungwe tu hakuna jinsi nyingine
 
Nawakumbusha tena msiposhinda hii game mmekwisha
Spurs game zake mbili ni uji wa mgonjwa
Norwich na Burnley
Sisi Chelsea tuna maji ya kilimanjaro ni kunywa tu
Leicester city na Watford
 
Ile nyepesi sana kuwa penati.
 
Nawakumbusha tena msiposhinda hii game mmekwisha
Spurs game zake mbili ni uji wa mgonjwa
Norwich na Burnley
Sisi Chelsea tuna maji ya kilimanjaro ni kunywa tu
Leicester city na Watford
Mechi ya Burnley ni ngumu sana maana wamefufuka na almost wanaondoka kwenye kushuka daraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…