Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
Ata mimi na amini ivo kuna vtu makocha wote wanaviona nadhan kwakeXhaka anatimiza majukumu yake kipindi hichi.
Anajithidi mno ukizingatia mid iliyopo.
At one point Henderson alionekana hafai Liver. Lakini ameletewa watu na falsafa imebadilika imefanya aonekane bila yeye liva haishindi.
Nina uhakika Xhaka bado tunaye sana.
Xhaka hana profile ambayo Arteta anaitaka , but you can't write him off, nigga anaquality ya kipekee mno, kuna muda unamuangalia unasema alitakiwa awe pale ila anapocheza line breaking pass, long pass, pass selection unaona nigga anaishi dunia yake.Xhaka anatimiza majukumu yake kipindi hichi.
Anajithidi mno ukizingatia mid iliyopo.
At one point Henderson alionekana hafai Liver. Lakini ameletewa watu na falsafa imebadilika imefanya aonekane bila yeye liva haishindi.
Nina uhakika Xhaka bado tunaye sana.
Zaha!Emmanuel Petit:
"I've heard big names as well, Jesus, Sterling, I really like Zaha, or even someone like Saint-Maximin from Newcastle. Martinelli is a very good player, just like Saka, but when they get injured, who's going to play on the left and right? There are no options, they need at least four players, at least two up front." #COYG
Source: Trust me Bro.
🚨 | Gabriel Jesus deal: new updates
Exclusive: Marcelo Pettinati, Gabriel Jesus agent with @energysports13, confirms negotiations opened with Arsenal and more ⤵️📑
🗣 “We had discussions with Arsenal about Gabriel Jesus and we like the project - it’s a serious possibility so we’re discussing”, he tells me.
🗣 “There are 6 more clubs interested in Gabriel Jesus - he’s now focused on final games with Manchester City, then we’ll see what happens”.
Gabriel Jesus is expected to leave the club after Erling Haaland deal official and completed 🔵🇧🇷
tumempa jamaa complimentary ticket aje ashuhudie magiant wa london afu atupe bonge la discount.🚨 Ricardo Begone, Bologna’s CEO, will attend tomorrow’s North London Derby and will meet with the Arsenal officials afterwards to negotiate the transfer of Aaron Hickey. Reports,
@TuttoBolognaWeb.
View attachment 2220992
Daah. Wanatupiga hela ndefu ila siyo mbaya. Tukishinda competion kumpata, je tutakuwa na pesa ya quality signings zingine na tutataka kuwaleta akina nani?🚨 Arsenal are close to agreeing a deal with Manchester City for Gabriel Jesus. Reports,
@brunoandrd.
The negotiations are heading towards a fee close to £42m.
Ngoja tusubiri lig iishe, Arsenal watamchukua kwa hela ya kawaida tuDaah. Wanatupiga hela ndefu ila siyo mbaya. Tukishinda competion kumpata, je tutakuwa na pesa ya quality signings zingine na tutataka kuwaleta akina nani?
yaani chini ya 40m? Si wanasema maongezi yanaenda vizuri? Kwa maana inaelekea tumeridhia bei. Of course sijali bei najali quality players wakutosha waje na msimu ujao tufanye vizuri zaidi ya huuNgoja tusubiri lig iishe, Arsenal watamchukua kwa hela ya kawaida tu
Kitambo tu Mchezaj na Arsenal walishamalizana,yaani chini ya 40m? Si wanasema maongezi yanaenda vizuri? Kwa maana inaelekea tumeridhia bei. Of course sijali bei najali quality players wakutosha waje na msimu ujao tufanye vizuri zaidi ya huu
hapo sawa. Maanake wanaweza kupunguza bei mchezaji na wakala wake wakiwatia pressure. Sikudhani kama watakuwa wamemalizana maana jana tu ben jacobs alisema city wanataka abakiKitambo tu Mchezaj na Arsenal walishamalizana,
City na arsenal ndio bado
Hizo 150M na 40M ndo nini?Agent wa Jesus atakua anatumia jina la Arsenal ili wanaomtaka Jesus wapande dau.
Juve inamtaka Jesus pia.
Villa wanamchukua Coutinho jumla. Barca ilimnunua kwa zaidi ya 150M ila inamuuza kwa chini ya 40M.