Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
Aya tupe uo mbon'goo sasaBowen amewaambia AsaniAli Bong'oweni na wenyewe mmebong'oa kweli amewatia kimoja.
Kipindi cha pili mtabong'oa tena halafu Bowen anatia kingine, Rice na Lanzini kila mmoja nae pia ana goli lake.
uwa nawaamini sana wachezaji ambao mzee wetu wenger aliwaachaGranit Xhaka kumreplace sio kitu kidogo, huyo midfielder atayekuja ana kazi ya kufanya.
Afu bado kuna mtu atakuambia haoni chochte kwenye hii team aseeeeOya Arteta bonge la tactician, hawa watoto wanapiga soka paka UEFA hiyooo
Kimahesabu tulikua tushapoteana, mara hawaapa tena, bila shaka champion ligi inatutaka.This time round it’s the champions league begging us to play
Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Richarlison ana ego kubwa ila uwezo mdogo. Haimaanishi hafungi akipata nafasi ila inamaanisha jamaa anajioverrate so hata akiwepo binafsi hainisumbuikuna uwezekano Richarlison atapewa 3-match suspension kutokana na kitendo chake cha kurusha kitufwe chenye moshi kuelekea kwa mashabiki. arsenal mpo hapo?
Asije akawa anatamani kurudi maana aliondoka Kwa mbwembwe kuwa anataka makombe, ameishia kupata ya uji
Tabia zake zinafanana na Morrisson wa Simba. ingawaje akiwa uwanjani ni msumbufu kiasi chake, Nadhani alikuwa street boy kabla hajaingia kwenye mpiraRicharlison ana ego kubwa ila uwezo mdogo. Haimaanishi hafungi akipata nafasi ila inamaanisha jamaa anajioverrate so hata akiwepo binafsi hainisumbui
Spurs tumempiga mzunguko wa kwanza. Anacheza mpira mzuri katika kutafuta goli ila ana matundu yake katika kukaba. Bahati mbaya hatuna clinical finisher ila sitashangaa mechi hiyo Emile akianza.I repeat Arsenal kwa mpira wa sasa game ngumu ni vs Spurs akimpiga spurs au kutoa sare anafuzu champions league problem inakuja Leeds na Everton wapo kwemye relegation zone but kimpira na kimbinu Arsenal is the best
Wameshaanza kukubali mbona saizi wote tunaongea lugha Moja nafasi ya tatu, sijaona anayeizungumzia ya nne tenaAfu bado kuna mtu atakuambia haoni chochte kwenye hii team aseeee
Acha complacency hii timu bado ina mapungufu, kama umeangalia mechi ya jana kuna wakati ilikuwa kama tumepotea uwanjani. Moja ya mapungufu ni ufinyu wa kikosi. Hapa tulipo tunaomba isitokee injury/redcard kwenye starting 11, vinginevyo jukwaa tutalikimbia.Afu bado kuna mtu atakuambia haoni chochte kwenye hii team aseeee
Jukwaa hatulikimbii. Uliyosema nakubaliana nawe ila kumbuka kuna Arteta kule bench. Kwahiyo JUKWAA HATULIKIMBIIAcha complacency hii timu bado ina mapungufu, kama umeangalia mechi ya jana kuna wakati ilikuwa kama tumepotea uwanjani. Moja ya mapungufu ni ufinyu wa kikosi. Hapa tulipo tunaomba isitokee injury/redcard kwenye starting 11, vinginevyo jukwaa tutalikimbia.
Anthony Martial, Saido Mane, Jack Grealish, Wilfred Zaha, Mason Greenwood, Phil Foden, Nicolas Pepe, Miguel Almiron na Eric Lamela.Richarlison ana ego kubwa ila uwezo mdogo. Haimaanishi hafungi akipata nafasi ila inamaanisha jamaa anajioverrate so hata akiwepo binafsi hainisumbui
Dusan sijui mara ya mwisho kafunga lini ,Dusan na Locatelli wangeweza kua miongoni mwa wapambanaji wa Arsenal muda huu tupo top four ila wakaamua kwenda Juve ambako walikua na uhakika wa kunyanyua makombe.
Well, Juve yuko nafasi ya nne pia. So tupo hapa saa hii.
Zingekua sajili babkubwa sana kwetu sisi kwa uwezo wa arteta najua wote wange klik tuDusan na Locatelli wangeweza kua miongoni mwa wapambanaji wa Arsenal muda huu tupo top four ila wakaamua kwenda Juve ambako walikua na uhakika wa kunyanyua makombe.
Well, Juve yuko nafasi ya nne pia. So tupo hapa saa hii.