Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hebu tutolee ujinga wako hapa

Nyie kilichobaki mvae top lakini sio mjihesabie kua mtaingia top4.
Nilikwambia tokea mwanzo Bowen sio mtu wa kumchukulia poa, wewe ukajifanya kumletea dharau ona sasa anavyowafanya.
 
computerarsenal upo wapi ndugu yangu?
Njoo uwachambulie mpira hawa chawa wa Arteta, wewe kila unapojitahidi kuwaonyesha madhaifu ya timu pamoja na kocha wao hua wanajifanya kuziba masikio.
 
Nketiah inabidi afundishwe ball striking, mipira anayokosa ingekuwa Smith Rowe lazima akufunge.
 
Elneny ajifunze kuattack opposition box, atakuwa mid mchafu aina ya Ikay Guendogan.
 
Vijana wamechoka sana, from Chelsea, United then West ham, wakipata hata draw safi tu. Dhidi ya Leeds tutashinda, North london derby tutapata sare
 
Kocha anafanya jitihada kuwaondolea wachezaji attitude kama hii yako. So far anafanikiwa
Wewe sio unaongea tu uonekane kila muda uko sahihi.

Ukiacha magoli tuliyopata kwa corner, kulikuwa na mpango gani mwengine wa ushindi zaidi ya kuzuia?
 
Kweli ndugu, ulisema Bora tucheze vby ,kwasasa muhimu 3 points

Confirmed: Arsenal have qualified for the Europa league next season.
Ukicheza kibrazamen na timu kama Westham anakushut moja, anapiga low block na counter za hapa na pale.

Ilikua vizuri sana tulivyoanza kuscore.

Halafu bado hatujafungwa goli la kona msimu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…