Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Oliver huwa yupo upande wa Liverpool, Game ambayo Arsenal anahitaji Matokeo akichezesha Oliver ujue tumeumiaYaaap oliver nae uwa upande wetu sana
nlikuwa namchanganya na atknsonOliver huwa yupo upande wa Liverpool, Game ambayo Arsenal anahitaji Matokeo akichezesha Oliver ujue tumeumia
Game ya mwisho aliyowanyonga Liverpool ilikuwa dhid ya totenham , imepita miaka minne nadhan baada ya hapo , mech za Liverpool akichezesha Oliver weka hata Hati ya nyumba
Oliver huyu ametupa Red card za kutosha zisizo hata na sababu, Au ambazo mech nyingine faulo hizo hizo hatoi
Ndiye Refa ambaye Arsenal fans hawampendi sana
Juz hapa kampa Red card ya utata martinel ,
View attachment 2204776
View attachment 2204777
Mi nilijua unajua unachokitetea kumbe ni average fan kama Computerarsenal, mpira hujui itoshe kusema.Mzee bado unabumba bumba tu vineno ili mawazo yako yawe sahihi.
Haya tufanye wewe ndio upo sahihi zaidi.
Kukusaidia tu, maana ya team naifahamu na huo ubora wa ronaldo nauzungumzia kwenye timu, sio mchezo wa gombania goli, kivyovyote vile bado ronaldo na uzee wake ni bora kuliko nketiah mara elfu, kaishathibitisha hiki kwenye timu tofauti, na ninacholenga mimi, katika timu yetu ambayo tunatengeneza clear chances zaidi ya 5 kisha hatupati goli, tunahitaji mtu wa kubadili clear chance kuwa goli.
Kwahiyo unataka kusema ronaldo ndio kaifanya Manchester iwe hovyl!?, kuwa serious mzee, haya huyo ronaldo kaondoka juve kawaacha na hali gani, kwahiyo ronaldo ndio kamfanya MAGWAYA awe MABOKOLIKOLO, hivi we ronaldo unamjua kweli, isije kuwa unamzungumzia jamaa mmoja tu hapo mtaani kwenu anajiita ronaldo, mimi namzungumzia CRISTIANO RONALDO, CR7. umecheki game ya chelsea!?
Sasa nakuuliza swali, je kivipi cr7 anaigharimu timu ama kaifanya kuwa mbovu kama ulivyodai hapo juu, with vivid examples au iwe mathematically proved
Uzee wa ronaldo sio ujana wa nketiah, ronaldo na uzee wake bado mpambanaji kuliko huyu mtoto wa juzi, mtoto yupo uwanjani karidhika kabisa, timu inatoka bila matokeo huoni hata nafsi yake kuwa na masononeko, ahhh, we mzee wewe(in sheikh kipozeo's voice)
Mkiishiwa hoja ndio kimbilio lenu,Mi nilijua unajua unachokitetea kumbe ni average fan kama Computerarsenal, mpira hujui itoshe kusema.
Hoja gani uliyonayo hapo mkuu wakati hata fundamentals huzielewi? Yaani ni sawa nipoteze muda kudiscuss na mtoto wa standard 1 kuhusu Matrix wakati 1+1 kwake mtihani.Mkiishiwa hoja ndio kimbilio lenu,
Uzee wa ronaldo sio ujana wa nketiah. Umeshindwa kuthibitisha unachokitetea unaruka sijui computer arsenal sijui nini.
Haya kila la kheri.
Mwerevu huanza ujinga pale anapojikuta mjuaji.Hoja gani uliyonayo hapo mkuu wakati hata fundamentals huzielewi? Yaani ni sawa nipoteze muda kudiscuss na mtoto wa standard 1 kuhusu Matrix wakati 1+1 kwake mtihani.
Mkiishiwa hoja ndio kimbilio lenu,
Uzee wa ronaldo sio ujana wa nketiah. Umeshindwa kuthibitisha unachokitetea unaruka sijui computer arsenal sijui nini.
Haya kila la kheri.
Hii sio coincidence, nimepita twitter now nimeiona jamaa kaandika hii kitu na ndio discussion yetu toka jana.Mwerevu huanza ujinga pale anapojikuta mjuaji.
Hujui mpira kaka tulia 😂😂😂Mwerevu huanza ujinga pale anapojikuta mjuaji.
Sema nimejifunza kitu kwako mkuu, No reasons to try & change an Average mind.
Halafu unakuta yeye ambae amekosea ndio anajitia ujuaji, hawa ndio kama wachambuzi wetu Bongo, ujuaji mwingi halafu mabokolikolo kibao.Hujui mpira kaka tulia
Aahh qmmmk kwamba wao wana vyeti vya ukocha au? daraja lipi la kiufundi wanalo linalowafanya waujue mpira
Akiongea mwingine haimaanishi yuko sahihi, ila tu ninabidi niheshimu mawazo yenu, kwangu mimi shida ya man u sio cristiano, game ngapi cr7 hajacheza wamepata matokeo, miaka yote huko nyuma ronaldo hayupo ilikuwaje kwao,Hii sio coincidence, nimepita twitter now nimeiona jamaa kaandika hii kitu na ndio discussion yetu toka jana.
Niliongelea kuhusu balance ya timu jana, jamaa anaongea kuhusu disjointedness, kwangu naona ni kitu kilekile.
Anasema "Ronaldo is part of why United are not as good as last season. So is Bruno Fernandes.
Both of them require a team completely built to complement the way they play. That's what happened last season with Bruno. Cristiano took that apart, so the disjointedness is what you have left."
So yale ni maoni yangu ila binafsi nafurahi kuona kumbe kuna great minds tunashare thoughts & opinions nje ya JF.
Sarakasi zimeanza?According to Dean Jones, Manchester City would actually prefer to sell Riyad Mahrez than Gabriel Jesus, amid interest from Arsenal.
Mpira haupo hivyo mkuu.Nyie Mapimbi mumeshindwaje kuwafunga Manure anayegawa Urodo kwa kila Mtu?
Oliver huwa yupo upande wa Liverpool, Game ambayo Arsenal anahitaji Matokeo akichezesha Oliver ujue tumeumia
Game ya mwisho aliyowanyonga Liverpool ilikuwa dhid ya totenham , imepita miaka minne nadhan baada ya hapo , mech za Liverpool akichezesha Oliver weka hata Hati ya nyumba
Oliver huyu ametupa Red card za kutosha zisizo hata na sababu, Au ambazo mech nyingine faulo hizo hizo hatoi
Ndiye Refa ambaye Arsenal fans hawampendi sana
Juz hapa kampa Red card ya utata martinel ,
View attachment 2204776
View attachment 2204777
Sio miaka hii, nadhan ilikuwa kipind Cha Poch, tot alishinda 4-1Aloyetunyonga dhidi ya Spurs mbona alikuwa ni Jon Moss ambaye aliwapa Spurs Penalties za utata 2 tukatoka sare ya 2-2.