Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nketiah atakuwa striker mzuri
Beki was kushoto bado mapepe
Jana vijana wamejituma
Nilihisi Kama saka anatakiwa apumzike kidogo
Huyu kama pepe tu, kiwango kina tetemeka mda wote
 

Kwa wale ambao hawakuona mechi this is an extended highlights
 
Wapi Olluchuga oc? Mbona leo haonekani humu. Au anapiga uzi chabo kwa mbali!! Aibu yake. Stamford Bridge umegeuka kuwa uwanja wetu wa nyumbani (wenyeji)kila tukicheza pale.
 
Wapi Olluchuga oc? Mbona leo haonekani humu. Au anapiga uzi chabo kwa mbali!! Aibu yake. Stamford Bridge umegeuka kuwa uwanja wetu wa nyumbani (wenyeji)kila tukicheza pale.
Mnachonifurahisha Arsenal mkipata ushindi wa siku moja mnaamini kabisa kuwa matatizo mlionayo yameisha, ila ukweli nikwamba nyinyi ni Arsenal8 tu matatizo na udhaifu wenu uko palepale. njoo mnipige pumbavu sana.
 
Jamaa anatambaga sana yule cjui leo yuko wap
 
Naona uchambuzi bado unaendelea, mko vizuri 😁😁😁
 
Mtema utumbo wako atakuja?? Hahhahaha. Ndizi ulipata??

Bado libasubiri mechi ya Man u weekend, lilitupa game tatu Chelsea, Man utd, & West ham, ngoja tuone 😁

Man u ni timu mbovu, binafsi naiona game nyepesi kuliko West ham, labda itokee tumefeli sababu ya forward line wakiunderperform.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…