Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila tactic ua znabadilika, kuna match itabd ubadilishe mbinu ucheze ata na DM wawili, hapa ndo torreira angefaa zaidi kuongeza ugumu kwenye midfield.

Kuna aina za game battle inakua kwenye midfield ukishindwa hapa umeliwa, na wakabaj wazur tulionao n partey na torreira wengine wanajarbu, so naona Kama bado ana chance ata kama atakua bench warmer.
 
Wapiga bunduki mlio geuka warusha mishale!
Muda wa kukaa kibra kwa Liverpool umefika!
Jumatano nakupiga
Naona mnajiamn sana, ila hii game n ngumu, hamjachezaga na ss kwa mda mrefu tukiwa na kiwango hiki tulicho nacho sasa, refa asipoingilia kati mnaweza msitoboe
 
yaaaah liverpool atakuja kwa moto mkubwa sana inabdi tupambne sana
 
Ad sahv Arsenal tuna potential ya kuwa na goalkeeper bora kwenye ligi ( ramsdale) kiungo mkabaj Bora( partey), winger Bora (Saka) na kiungo maestro ( Odegard).

Soon tu tunakaribia nchi ya ahad
 
Luis Díaz vs Cédrick Soares... Mwamba Tomiyasu nimemmiss sana ndio game zake hizi, for the first time tunacheza tukiwa na Xhaka & Partey kwenye Mid dhidi ya Liverpool msimu huu, je kuna kitu kitabadilika? Tusubiri tuone.
 
Luis Díaz vs Cédrick Soares... Mwamba Tomiyasu nimemmiss sana ndio game zake hizi, for the first time tunacheza tukiwa na Xhaka & Partey kwenye Mid dhidi ya Liverpool msimu huu, je kuna kitu kitabadilika? Tusubiri tuone.
Nothing.

Watanufaika na kasi ndogo ya Xhaka. Na sifa yake mbaya mbele ya marefa, pia kuchelewa kwake kutoa pasi kutawapa muda viungo wa liva kumfikia kabla hajafanya maamuzi.
 
Wazo hasi. Tunaweza kutumia mbinu ya morinyo alipokuwa madrid ya kuachanana na barca na kudeal ma wengineo akala ubingwa. Ilikuwa akicheza na barca anapigwa na hajipi stress ila hao wengine anaua. Katika mechi 5 zijazo ngumu ni hawa kuku tu. Hapa tuwapange kina lokonga na elneny tuwapumzishe kina partey na mastaa wengine. Vijana wapambane. Labda tutafungwa ila hao watakaofuata baada ya kuku cha moto watakiona. Top 4 secured
 
Nothing.

Watanufaika na kasi ndogo ya Xhaka. Na sifa yake mbaya mbele ya marefa, pia kuchelewa kwake kutoa pasi kutawapa muda viungo wa liva kumfikia kabla hajafanya maamuzi.
Xhaka kuwa hivyo itategemea kama game itakuwa ya upande mmoja ila silioni hili likitokea.
 
Big no mkuu, point yoyote ni muhimu kwa sasa, Arteta anajua sana, hizi game za home atakuja na Tactical masterclass utashangaa mpinzani anavyohemea mirija,

Ila kimpira tukiongelea fundamentals Liverpool kudefend mashambulizi yetu ni rahisi mno coz hatuna CF anayexcel physically & technically kuapproach box la mpinzani, so kama wanapress high ili kubypass the fist line of pressure, Arsenal tutahitaji kucheza long kicks kwenye Flanks kwa Saka & Martinelli maana katikati hatuwezi Kuwin duels sababu ya CF tuliyenae. Liverpool watasqueeze play kwenye flanks then inakuwa easy game kwao, we cant keep the ball against them, ila nachoamini Mikel Arteta ataenda kutushangaza tena kama mechi ya Man city.
 
Wamlete Ruben neves wa wolves yule.....ana speed...na accuracy kubwa ya pasi kuliko xhakaboom...
 

Daaa wewe jamaa ni muoga kinyama 😅😅😅yaani unaona upumzishe kabisa wachezaji mhimu et kisa upo na opponent mkali kwamba wewe utakuwa inashinda team ndogo ndogo hizi team kubwa unazipanulia kuchukua point 3 aisee😅😅😅😅😅😅😅😅
 
hahaha ndio maana nikaanza kwa kusema mawazo hasi. Ni mbinu tu ya kivita. Siyo timu kubwa wala nini ni kutumia tu resources vizuri. Next 5 games ni 15 potential points. Tunahitaji 12 kukaa nafasi nzuri. Tumeshatoka kucheza j2. Ili tusichoshe na kurisk majeraha kwa mastaa, tuwapumzishe. Watakaocheza wanaweza kudroo au kushinda. Ila baada ya hapo tunarudisha mastaa wakiwa fit kwa game 4 hizo na tunaua kila akatizae bila huruma. Ni mbinu tu boss
 
Nothing.

Watanufaika na kasi ndogo ya Xhaka. Na sifa yake mbaya mbele ya marefa, pia kuchelewa kwake kutoa pasi kutawapa muda viungo wa liva kumfikia kabla hajafanya maamuzi.
naanza kuamini hauna mapenz kbsa na xshaka hana zuri kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…