Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii arsenal kumfunga Liverpool ni ndoto kabisa ....mtaingia top four kwa vile united ni mbovu .....

Vinginevyo njia ni nyeupe lakin itakuwa ngumu Sana.....
 
Sawa mkuu. Nilikuwa nimekuuonyesha tu kwamba kuna jiwe limerushwa uliangalie ulikwepe
 
Mkuu hatutakiwi kumchukua sana Emery, still he is a top coach, angalia jinsi Villareal inavyoperform La liga hata UCL ingawa wana scarce resources, bado naamini lugha ilikuwa kikwazo kwake pale Arsenal.
lugha tundioilimfelisha? mimi kwangu hakuwa kocha anayefaa kuifundisha arsenal,
 
Unai aliadhibiwa kwa kushindwa kuonhea Kiajemi. Wakamtengenwzea propaganda zilizomvunja moyo. Na mwishowe akasepeshwa
inabid mumfatilie vzr unai emery ndio mtajua yule ni kocha wa ovyo , ni muoga kuliko kunguru

ukiacha lugha hakuwahi kuwa na mbinu zozote za kuifikisha popote arsenal, pale psg wachezaji waliwahi kukiri sio kocha, aendelee kubaki hapo hapo spain, maana hana rekond hata hapo spain ya kuingia top 4,

kismat chake cha ueropa ndio kilimfikisha psg had arsenal,
 
Mikel Arteta on playing a role in Arsenal’s third goal against Watford: “I saw an advantage and I took it; we have to be alive and that is the way I live the game. I try to instil that in the team as well.”
 
Arteta: "We were really good going forward and we scored three magnificent goals, but we didn’t have the same energy and commitment defensively. And when that happens away from home, you are going to suffer and that’s why we suffered today."
 
Ebu niambie unamfungaje Chelsea?
kwan msimu uliopita ulifungwaje? mech ya kwanza msimu huu kumbuka ulicheza na arsenal ambayo 70% sio hawa wachezaji, hata city... game ya 2 alikutana na surprise, so be patient
 
lugha tundioilimfelisha? mimi kwangu hakuwa kocha anayefaa kuifundisha arsenal,
Alifeli vipi ? Arteta alikutana na losing streak mbaya Zaidi kuliko Unai Emery ila akaendelea kuaminiwa, lugha ilimfanya Emery kulose dressing room. I love Mikel Arteta ila siwezi kumdowngrade Unai Emery regarding na performance ya timu aliyopo currently.
 
kwan msimu uliopita ulifungwaje? mech ya kwanza msimu huu kumbuka ulicheza na arsenal ambayo 70% sio hawa wachezaji, hata city... game ya 2 alikutana na surprise, so be patient
Aah aah kijana unafurahisha wewe huna uwezo wakumfunga Chelsea, Chelsea kuruhusu tu goal 1 wapinzani lazima wafanye sherehe
 
Mpira wa Serie A watu hawana utulivu kabisa, game kubwa lakini decision making zero ni bora uangalie Leeds vs Leicester city.
 
Uteja wetu kwa man u na Chelsea ulisha isha sasa hivi n piga nikupige,

Uteja umebak kwa liver na mancity ambao na nao dawa zao ziko jikon, so soon tutarud kua giant and title chaser

So wapinzan n vema msituchukulie poa kwa faida ya afya zenu

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…