Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiki kipindi cha kwanza kilikua cha kukamuana magoli mazuri tu.
 
Hili halitegemeni na kuwa ligi imeisha au haijaisha. Kama mtu anashindwa kuona hilo basi sijui nimtafsiri vipi. Labda chuki tu
Arsenal yetu haijawahi kuwa na mpira mbovu for more than 15 years ni kipindi cha Emery tu mambo yakaharibika but problem ni mafanikio makubwa ya big trophies
kwa sasa Arsenal haina michuano yoyote inayoshiriki no champions league no europa league wala domestic competitions hvyo top 4 is a must kwa Big club kama Arsenal kwa sasa hayo mambo ya kucheza vizuri hakuna fans wala mpinzani asiyejua kama Arsenal ina sexy football bro TULIA
 

Magoli yanayofungwa ni ya viwango vikubwa
 
Kwa form yetu ya sasa labda liver ndo atatusumbua, wengine waliobak waktufunga n bahat mbaya,
 
Kwa form yetu ya sasa labda liver ndo atatusumbua, wengine waliobak waktufunga n bahat mbaya,
Haya ndio maneno sasa bro nguvu hii iendelee tukashiriki Champions league imagine ni zaidi ya miaka 5 au 6 sasa tunashuhudia wapinzani wakipigiwa nyimbo za Champions league na sisi this season tujione basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…