Huwezi kuona udhaifu wa Gabriel kwa macho mawili, unahitaji vision ya kimpira kuelewa kwanini Saliba ni bora kuliko Gabriel. Mkuu mchezaji mmoja hawezi kuleta ubora unaodhani pale nyuma, that Mikel Arteta has afforded to give us a top defensive structure ndio inakupa unachokiona wakati timu nzima inawork as a unit.Hii hapana, Gabriel n mchezaj wetu muhimu sana, ametu sahaulisha koscienly mapema. Siri ya ubora wetu kule nyuma n yeye, hayo makosa mengi labda unikumbushe, lakn navyojua mm makosa anafanya lakin sio ya kumsondea kidole, kwa sababu hakuna mchezaj asiye fanya makosa.
Saliba kamuangalie tena, ana mengi sana ya kujifunza kwa Gabi the great man
Na sio tu defensive, Gabriel hata anavyobuild play anapata tabu sana, central progression kwake is like a rocket science, ukimcheki Benjamin White is very comfortable when building play unlike Gabriel magalhaes. That's my opinion. We need a top ball playing defender like Benjamin White.Huwezi kuona udhaifu wa Gabriel kwa macho mawili, unahitaji vision ya kimpira kuelewa kwanini Saliba ni bora kuliko Gabriel. Mkuu mchezaji mmoja hawezi kuleta ubora unaodhani pale nyuma, that Mikel Arteta has afforded to give us a top defensive structure ndio inakupa unachokiona wakati timu nzima inawork as a unit.
Sasa hivi tunaongelea Arsenal ya kuchukua EPL & UCL thats why tunahoji je defending ability ya mtu km Gabriel itatufikisha kwenye nchi ya ahadi, tunasema hapana anaflaws nyingi mno, Beki km Gabriel hawezi kukupa kombe mbele ya Pep's team inayoshinda points 90+ each season. Koscienly? who is koscienly bro? Mbele ya Pep Guardiola.
Ebu weka hiyo vision ya kimpira ili tuone wewe vision yako ikoje.Huwezi kuona udhaifu wa Gabriel kwa macho mawili, unahitaji vision ya kimpira kuelewa kwanini Saliba ni bora kuliko Gabriel. Mkuu mchezaji mmoja hawezi kuleta ubora unaodhani pale nyuma, that Mikel Arteta has afforded to give us a top defensive structure ndio inakupa unachokiona wakati timu nzima inawork as a unit.
Sasa hivi tunaongelea Arsenal ya kuchukua EPL & UCL thats why tunahoji je defending ability ya mtu km Gabriel itatufikisha kwenye nchi ya ahadi, tunasema hapana anaflaws nyingi mno, Beki km Gabriel hawezi kukupa kombe mbele ya Pep's team inayoshinda points 90+ each season. Koscienly? who is koscienly bro? Mbele ya Pep Guardiola.
Hapo ndo uone kazi yao ilivyo tofauti yan mmoja anazuia na mwingine anazuia na kuanzisha mashambulizi. Km ulivyosema White akichukua mpira anatulia maana anawaza kuanzisha lkn Gabriel anawaza kuzuia na kuwapa wengine waanzishe. Mkuu gabriel ni beki alietimia kwenye kuzuia, yuko tough na anafika kweli kweliNa sio tu defensive, Gabriel hata anavyobuild play anapata tabu sana, central progression kwake is like a rocket science, ukimcheki Benjamin White is very comfortable when building play unlike Gabriel magalhaes. That's my opinion. We need a top ball playing defender like Benjamin White.
Mistakes are part of our beautiful game, yani mtu kufanya errors ni kawaida sana katika mpira. Partnership ya White na Gabriel imesaidia sana kufanya defence ya arsenal iwe kama ile tunayoijua tangu kuondoka kwa kina Toure na Campbell.Ebu weka hiyo vision ya kimpira ili tuone wewe vision yako ikoje.
Ila km unatazama mpira vzr jinsi anavyo kaba 1v1, anavyogombania mipira ya juu(header) na anavyoanzisha mpira huwezi kusema kuwa ni beki ambae hawezi kutufikisha nchi ya ahadi. Mkuu gabriel ni stopper kweli kweli.
Na kitu kingine ambacho unatakiwa kukitilia maanani ni kwamba huwezi kuwa na mabeki wawili wanaofanana wakacheza pamoja lzm wawe na errors nyingi. Ndo maana utaona White akipora mpira ataanza kukokota kwenda mbele lkn Gabriel akipora mpira atapiga pasi au km atakokota basi atakokota mara chache sana.
Rudisha kumbukumbu nyuma mechi na man city kabla ya kupigwa kadi nyekundu ndo utaona kazi aliyofanya.
Kwenye Mechi na Man city Gabriel alifeli na ile mechi tungepata points bila hayo makosa yake, kwanini ?Ebu weka hiyo vision ya kimpira ili tuone wewe vision yako ikoje.
Ila km unatazama mpira vzr jinsi anavyo kaba 1v1, anavyogombania mipira ya juu(header) na anavyoanzisha mpira huwezi kusema kuwa ni beki ambae hawezi kutufikisha nchi ya ahadi. Mkuu gabriel ni stopper kweli kweli.
Na kitu kingine ambacho unatakiwa kukitilia maanani ni kwamba huwezi kuwa na mabeki wawili wanaofanana wakacheza pamoja lzm wawe na errors nyingi. Ndo maana utaona White akipora mpira ataanza kukokota kwenda mbele lkn Gabriel akipora mpira atapiga pasi au km atakokota basi atakokota mara chache sana.
Rudisha kumbukumbu nyuma mechi na man city kabla ya kupigwa kadi nyekundu ndo utaona kazi aliyofanya.
Kwamba majukumu tofauti mmoja anazuia mwingine anaanzisha mashambulizi haah!Hapo ndo uone kazi yao ilivyo tofauti yan mmoja anazuia na mwingine anazuia na kuanzisha mashambulizi. Km ulivyosema White akichukua mpira anatulia maana anawaza kuanzisha lkn Gabriel anawaza kuzuia na kuwapa wengine waanzishe. Mkuu gabriel ni beki alietimia kwenye kuzuia, yuko tough na anafika kweli kweli
White ni ball playing defender huwezi kua nao wawili na wote ukawaweka katikati halafu waperform duties zile zile za kuanzisha mashambulizi.Na sio tu defensive, Gabriel hata anavyobuild play anapata tabu sana, central progression kwake is like a rocket science, ukimcheki Benjamin White is very comfortable when building play unlike Gabriel magalhaes. That's my opinion. We need a top ball playing defender like Benjamin White.
Matteo mchezaji mzuri ila tatizo displine hana ni ngumu sana kum-handleHivi wakuu kulikua na sababu gani ya kumsajili Albert Sambi Lokonga wakati tuna Matteo Guendozi ambaye kwa upande wangu naona yupo vizuri zaidi kumzidi sambi.
Ndio mkuu! Namaanisha kwamba White muda mwingi akishika mpira unaona anakokota kwenda mbele tena kwa umbali mrefu na kwa kasi. Hii maana yake ni nini, ni kwamba analazimisha upande wake wakimbie kwenda mbele kutafuta nafasi za kupewa mpira kisha wafunge. Lkn wakati anafanya hivyo gabriel anakuwa amebaki kuimarisha ulinzi kwa kuwa yeye huwezo wa kufanya hivyo ni mdogo au haupo kabisa.Kwamba majukumu tofauti mmoja anazuia mwingine anaanzisha mashambulizi haah!
Sure mkuu!And a depth in kur squad
Zaidi ya moyo wa kupambana alionao Guendouz sioni sifa yake nyingine.Hivi wakuu kulikua na sababu gani ya kumsajili Albert Sambi Lokonga wakati tuna Matteo Guendozi ambaye kwa upande wangu naona yupo vizuri zaidi kumzidi sambi.
Nani anasema huwezi kuwa na ballplaying defenders wawili? Inabidi uelewe kwanini kuna ballplaying defenders nowadays.White ni ball playing defender huwezi kua nao wawili na wote ukawaweka katikati halafu waperform duties zile zile za kuanzisha mashambulizi.
Silva na Luiz wakiwa PSG walikua ni ball players ila ilibidi mmoja awe anamute na aliyemute alikua Silva.
Magalhaes ni beki mzuri. Last minutes tackles, containment, nguvu na akili ya kulinda zote anazo isipokua kila beki once or twice atakua exposed na opponent. Virgil alilambishwa mchanga na Rashford, Samata, Watkins n.k.
Anachooffer Magalhaes hakijaonekana kule nyuma tangu Mustafi na Sokratis wawe CBs. Magalhaes anafanya kazi iwe rahisi kwa partner wake ametupa namba za juu za least conceded goals akiwa partnered na Holding.
Saliba siyo mbaya ishu ni kwamba akirudi na akaprove nini kitatokea? Unless tucheze 3 4 3 kuwaaccommodate wote.
Umeuliza Laurent ni nani mbele ya Pep, notice kwamba Pep kamnunua Ake, a flop, ila haongelewi kwakua city inaperform. Ukasema Magalhaes si kitu mbele ya timu ya Pep well Danilo ni beki mwingine aliyenenda rudi pale City leo yuko wapi?
In fact ukuta wa gharama wa Pep hua unawekwa benchi na ukuta wake wa bei ndogo. Kila beki aliyenunuliwa kwa pesa ndefu alikuja kuwekwa benchi na beki wa bei ya chini yake.
Mkuu hivi Hawa wachezaji sio flop under pep...! Nolito,bravo and Mendy?Nani anasema huwezi kuwa na ballplaying defenders wawili? Inabidi uelewe kwanini kuna ballplaying defenders nowadays.
Ngoja twende sawa
Sifa kuu a Good defender ( Van dijk) anatakiwa awe Composed, Calm, Confident.
What makes a good defender? Kuna mambo mawili makuu
1. Ability to win duels
2. Ability to Manage spaces in relation to the ball and teammates.
Gabriel Magahlaes kwenye kigezo cha Ability to win duels amepass, that's why wengi mnampraise sababu icho ndio mnakiona kwa a good defender, how about managing of spaces? To understand namna gani unaweza kuclose down your opponents & tackles unahitaji sixth sense of defending like Van dijk / kalidou koulibaly/ Chiellini.
Tatizo la Gabriel, he is not a ballplaying man, offensive anashindwa kucheza a foward linking passes to our wingers which get the team off pressure, whenever under pressure always give backpass, very risky
Sasa Kwanini? Sababu Gabriel analack vigezo muhimu which make a good defender... Control, Confidence, Calmness.
Yote yanasababishwa na his poor reading of situations inapelekea inaability to dominate and control the game. Ataendelea kutupotezea point paka atapoimprove but at the moment he is not good enough.
Kitu kingine kuhusu Pep Guardiola inabidi uelewe Pep anacheza Positional play (Juego de posicion) hivyo usitegemee mchezaji alikuwa anategemewa Bournemouth basi atakuwa hivyohivyo Man city, just like Jack Grealish alikuwa bora Aston villa ( play making) lakini anakuwa normal tu at City sababu roles zinapungua unafanya Roles za position tu inavyokuhitaji. Na Pep hajawahi kusajili Flop, hata Rodrigo Hernandez watu walimwita flop at first.
Nolito & Bravo sio wachezaji wa Pep, Mendy kasumbuliwa na injury ila kashashinda Premier league in his first season with City, Rwkodi inaonesha Msimu wa 2018-19 aliweka Assist 5 kwenye mechi 10 kabla hajapata injury.Mkuu hivi Hawa wachezaji sio flop under pep...! Nolito,bravo and Mendy?