Inawezekana but pia inaweza maanisha sisi tuna squad yenye uwezo sanaMatokeo ya Spurs mpaka nakuquote itoshe kusema lady luck is by our side. Tumsubiri Westham
Kwa sasa ni tuna kocha mwenye mbinu na squad yenye moraliInawezekana but pia inaweza maanisha sisi tuna squad yenye uwezo sana
Watamtumia tu. I think Newcastle will survive relegation and then after three years watakuwa nao ni timu kubwa na nzuri sana.Newcastle Guimaraes wamemnunua wa nini?
Nilitamani nimuone jamaa. Ingawa review zinasema ni wa kawaida ila nilitaka nimuone.Watamtumia tu. I think Newcastle will survive relegation and then after three years watakuwa nao ni timu kubwa na nzuri sana.
Mpira pesa na matajiri wa kiarabu hawatanii
Coutinho angetu-destabaliseNilitamani nimuone jamaa. Ingawa review zinasema ni wa kawaida ila nilitaka nimuone.
Also Coutinho angekuja Emirates bwana
Tunasubiri 19th tumpasue Brentford.Njia nyeupe spurs mdebwedo
Tunasubiri 19th tumpasue Brentford.
One game at a time
hata madevu nuno santo ilikuwa hivo hivo, ni sawa na rodger tu, eti kuna mashabiki walikomaa kabisa aletwe arsenal ,By the way huyu Bruno Lage hakai sana pale Wolves. He is too good kwa ambitions za Wolves
No Santo Wolves alikua ameifanya ikomalie timu kubwa huku akipigwa kijinga na mid table na mpira wao ulikua wa hovyo.hata madevu nuno santo ilikuwa hivo hivo, ni sawa na rodger tu, eti kuna mashabiki walikomaa kabisa aletwe arsenal ,
wakikutangulia umeisha, lage yupo vzr sanaNo Santo Wolves alikua ameifanya ikomalie timu kubwa huku akipigwa kijinga na mid table na mpira wao ulikua wa hovyo.
Sasa hivi ukiiangalia Wolves unaona wanavyoanza kutafuta goli na kulinda.
Kwa ambitions za wolves Lage ni kocha mkubwa sana.wakikutangulia umeisha, lage yupo vzr sana
leo kaja na 3-5-2,
dhidi ya arsenal alikuja na 3-4-3 akitegemea arteta atakuja na 4-2-3-1
akakutana na 4-3-3 hybrid ya 4-2-3-1
Xhaka alisogea juu kidogo upande wa kushoto kama namba 8 wa chini ( deeper 8 ) huku Odegaard akiwa namba 8 wa juu ( advanced 8 ) dhumuni lake ni kwanza kwa Xhaka kumkabia juu Ruben Neves asipige sana sana lakini pia kutengeneza combination ya wachezaji watatu kushoto kwao ( Xhaka Tierney na Martinelli )
Upande wao wa kulia Arsenal nao ilikuwa hivyo hivyo Saka Odegaard na Soares ....Arteta alitaka kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji pembeni ya uwanja ( creating overloads ) ili kuwarudisha nyuma wingbacks wa Wolves nyuma lakini pia kuwatoa kwenye nafasi zao Kilman na Saiss kwenda pembeni kusaidia na matokeo yake kuivunja BACK 5 yote .
View attachment 2118693
next game emirates sijui atakuja tena na 3-4-3 au 3-5-2