OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Makombe Kama haya hizi mbuzi zitasikia tu kwa timu timamu zenye uwekezaji was kueleweka .
Makombe Kama haya hizi mbuzi zitasikia tu kwa timu timamu zenye uwekezaji was kueleweka .
Kama huna lolote la maana dunia hii lazima udharaulike tu..ninyi arse8 Muna kombe gani la maana tangu enzi za Wenger na kabla yake Hadi sasa??Dah Arsenal sisi tutatukanwa jamani hadi tukome
Makombe Kama haya hizi mbuzi zitasikia tu kwa timu timamu zenye uwekezaji was kueleweka .
I hope siku moja nitaona final UEFA Arsenal vs Barca / Arteta vs Xavi hernandez na wote wakiwa kwenye ubora mkubwa.Waespaniola wanajua sana mpira, kuna Father Pep Guardiola, Kuna Son Mikel Arteta, now Xavi hernandez na wote walikuwa Midfielders /controllers.
Tano ulizopigwa na West Brom ndizo zitakazokutokea tena, mmenona mnastahili kuwekwa ndaniSubiri kutubatize Tena sec leg
Inawezekana maneno ya aina hii ndio style yako ya ushabiki.Wewe takataka kweli ..sasa kepa unamfananisha na Nani hapo arse8? Kepa katupa Europa, supercup, tuko efl fainal ni kazi ya kepa ..sasaa wewe mbuzi wa arse8 unakuja leta ngebe hapa ..ninyi 80M mliyolipa kwa Pepe imeleta impact gani hapo clabuni kwenu nyie mbuzi wa London?
God forbidI hope siku moja nitaona final UEFA Arsenal vs Barca / Arteta vs Xavi hernandez na wote wakiwa kwenye ubora mkubwa.
Nikipigwa 5 na Arsenyeto najitundikaTano ulizopigwa na West Brom ndizo zitakazokutokea tena, mmenona mnastahili kuwekwa ndani
Arsenal are back, Barca are back, kama hutaki unajiua tu.God forbid
Itakua mara ya kwanza?Nikipigwa 5 na Arsenyeto najitundika
You are back from where?Arsenal are back, Barca are back, kama hutaki unajiua tu.
Tulishapiga 6 bila wewe. Usijisahaulishe aibu ile ya KarneItakua mara ya kwanza?
Hiyo ni kweli. Ni aibu kufungwa hata 1 na nyinyi vibonde. Na mimi nakuuliza kama itakua mara ya kwanza kukupiga tano wewe kinaboTulishapiga 6 bila wewe. Usijisahaulishe aibu ile ya Karne
Ameshakufa 2. Top four yetu kabisaaaaaaNaona spurs anachezea kwa wolves...
Matokeo ya Spurs mpaka nakuquote itoshe kusema lady luck is by our side. Tumsubiri WesthamInawezekana maneno ya aina hii ndio style yako ya ushabiki.
Kila la kheri huko ignore list ninakokupeleka.