Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuhusu red ya Martinelli.

Wakati mtu anarusha mpira akawa anamzuia asirushe, nafikiri refa aliona inahitajika kua yellow ila akaacha advantage kwakua mpira ukatua kwa mchezaji wa wolves.

Martinelli akamkimbilia mchezaji wa wolves na kufoul akitokea nyuma. Kwa kawaida hii ni faulo na inawarranty yellow.

Kuna scenario nyingi za wachezaji wa timu nyingine kucheza rafu kutokea nyuma na inapita bila yellow. Mfano mechi ya juzi na alichofanya Pogba.

Pia kwa kua mpira uliachwa uwe advantage na sasa yeye kaonekana anauchukua siyo kwamba ilibidi refa arudishe faulo pale mwanzoni aliporuhusu advantage? I mean hata angeamua faulo iwe pale sehemu ya pili bado kuna sehemu angeweza acha isitoke yellow na isingekua tatizo.

Hata hivyo namshukuru kwa kuruhusu goli letu ingawa kipa alikua ameshaukosa mpira ila Laca ni amepiga mkono wa kipa. Angeweza kutukazia ila hajafanya hivyo.
 
Stop condoning bad behaviour, ni aibu wachezaji kupewa red (2022) kila tunapocheza. Kocha lazima aondoe tabia ya timu kuonekana kama ya kihuni.
Wewe umekariri kila red card inapotoka ni mchezaji ndio mwenye kosa, red card zingine ni kwamba referee anataka kufix match, Nimeona kwa mwandishi mmoja kwamba Arteta anataka kuongea na FA kuhusu decision za hii mechi.

Swali ni kwamba, How can you get two yellows for the same sequence of play?
IMG_20220211_075450.jpg
 
Neves alichoamua kusema akiseme ila kuna tofauti ya matarajio ukiwa wolves na ukiwa Arsenal. Ukiwa Arsenal kila point tatu zina kazi ya kutufanikishia mission. Mission ya Arsenal ni top four.

Ningependa kumsikia pia baada ya mechi na norwich
 
Akili ya Arteta ni ulinzi tu, going forward is his weakness. We are not playing fluidity footabl bcoz of defending mentality, he invest to much time on defence art than attacking. No wonder he doesn't know how to Use Pepe or a case of Ozil before his departure.

Generally if we need to emerge from our midcrority Arteta is not tje man to do that. And serious investment is needed to do so. Our midfield is a weak link, our attach has no shape and soon we will have no snr CF to depend on banging those goals.

And all the happens and the board looks happy with it. And if we don't acct soon the counting will go on and become 30yrs without EPL
Angalau kuna improvement kwenye defence, taratibu atatengeneza striking force nzuri. Kumbuka tulikuwa chaka la kupigwa nyingi.
 
beki wangu huyu, namkubali sana ,mwanangu wa kiume mwez wa 7, nimepanga kumuita GABRIEL
Hongera sana mkuu. Of course nitashauri kuwa mtoto akiuliza jina lake limetoka wapi mwambie limetokana na yule malaika ambaye pia kuna mchezaji umempendaye ambaye amepewa jina hilo 😀😀😀
 
Aaron Ramsdale is milking clean sheets this season. "Relegation goalkeeper" they said. Hahahaha
Naona kama ligi ina makipa watatu hivi wa maana. Wakwanza ni De Gea. Aisee bila yule jamaa Man Utd wangepotea sana. Wapili ni Lloris. Watatu ni Ramsdale.
 
Akili ya Arteta ni ulinzi tu, going forward is his weakness. We are not playing fluidity footabl bcoz of defending mentality, he invest to much time on defence art than attacking. No wonder he doesn't know how to Use Pepe or a case of Ozil before his departure.

Generally if we need to emerge from our midcrority Arteta is not tje man to do that. And serious investment is needed to do so. Our midfield is a weak link, our attach has no shape and soon we will have no snr CF to depend on banging those goals.

And all the happens and the board looks happy with it. And if we don't acct soon the counting will go on and become 30yrs without EPL
Nakupinga katika hii observation yako kwamba akili ya Arteta ni ulinzi mtupu.

Arteta ndiye kamtrain Sterling na Sane kwenye role zao kama wings.

Arteta kamtoa Pepe RW na kumuweka LW ambapo alionyesha improvement kabla ya kujipatia red ya kijinga.

Arteta pia ndiye kaonyesha dira anataka timu ipate matokeo kwa mtindo gani na usajili wa watu kama Ode, Ben White, Ramsdale na Tavares umebase katika kusaidia ushambualiaji zaidi.

This means hashambulii kwakua hana wachezaji anaowataka ila so far Arteta ni mzuri kuzidi makocha aliowahi kufananishwa nao Ole na Lampard. Bila resources za maana ameweza kutransform timu.

Bila resources za maana ametransform defense iliyowahi semwa haifundishiki.

Kuna siku nilikuambia kinachombakisha Arteta ni takwimu za timu as a whole so mzoee tu. Relief Mirzska hakumkubali jamaa ila over time amemzoea.
 
Next game ni Brentford, kumbuka hawa walitupiga tatu takatifu day one
Wana finisher mzuri Toney na wana Mbuemo anayejua kukimbizana na defense.

Sisi tukaenda kumiliki mpira wao wakaja kutafuta magoli.

Anyway, nafikiri Wolves yupo kwenye form kipindi hichi kuliko Brentford so naona tuna matumaini.
 
Naona kama ligi ina makipa watatu hivi wa maana. Wakwanza ni De Gea. Aisee bila yule jamaa Man Utd wangepotea sana. Wapili ni Lloris. Watatu ni Ramsdale.
Kabla ya mechi ya jana kipa wa Wolves save 68 Ramsdale 56.

Jana ilikua ni wapinzani wamekutana.
 
Daah mwamba nilimfuta na religation curse yake.

Nilishamwimba Msamaha kwa dhambi ya kumhukumu.

Na hadi sasa ni mchezaji pekee anayecheza with passion ya kuitumikia team. Wengine wote ni kama waajiliwa tu, matokeo kwao sio kitu kina homuumiza, bali wanafanyakazi wapate mshahara
Nasubiria pia siku utakayomuomba msamaha Arteta kwa dhambi hiyo hiyo hahahaahahha.

Japo kimoyomoyo
 
Back
Top Bottom