Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Tuna wenzetu wengi humu hawajui mpira.Wewe umekariri kila red card inapotoka ni mchezaji ndio mwenye kosa, red card zingine ni kwamba referee anataka kufix match, Nimeona kwa mwandishi mmoja kwamba Arteta anataka kuongea na FA kuhusu decision za hii mechi.
Swali ni kwamba, How can you get two yellows for the same sequence of play?View attachment 2115463
Tuendelee tu kuwafundisha hivi hivi kidogo kidogo.
