Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe umekariri kila red card inapotoka ni mchezaji ndio mwenye kosa, red card zingine ni kwamba referee anataka kufix match, Nimeona kwa mwandishi mmoja kwamba Arteta anataka kuongea na FA kuhusu decision za hii mechi.

Swali ni kwamba, How can you get two yellows for the same sequence of play?View attachment 2115463
Tuna wenzetu wengi humu hawajui mpira.

Tuendelee tu kuwafundisha hivi hivi kidogo kidogo.
 
Nakupinga katika hii observation yako kwamba akili ya Arteta ni ulinzi mtupu.

Arteta ndiye kamtrain Sterling na Sane kwenye role zao kama wings.

Arteta kamtoa Pepe RW na kumuweka LW ambapo alionyesha improvement kabla ya kujipatia red ya kijinga.

Arteta pia ndiye kaonyesha dira anataka timu ipate matokeo kwa mtindo gani na usajili wa watu kama Ode, Ben White, Ramsdale na Tavares umebase katika kusaidia ushambualiaji zaidi.

This means hashambulii kwakua hana wachezaji anaowataka ila so far Arteta ni mzuri kuzidi makocha aliowahi kufananishwa nao Ole na Lampard. Bila resources za maana ameweza kutransform timu.

Bila resources za maana ametransform defense iliyowahi semwa haifundishiki.

Kuna siku nilikuambia kinachombakisha Arteta ni takwimu za timu as a whole so mzoee tu. Relief Mirzska hakumkubali jamaa ila over time amemzoea.
Tena alipokuja na baadhi ya mambo ambayo mimi najua ndio nguzo ya mafanikio kwenye field yoyote ile hapa duniani (management) ndio nikazidi kumkubali na kwa sasa huniambii kitu.

His management style ni si mchezo. We are talking about "NON NEGOTIABLES "

Sidhani kama kuna makocha zaidi ya watano duniani ambao wanamzidi Arteta kwa uwezo sasa hivi.
 
Wana finisher mzuri Toney na wana Mbuemo anayejua kukimbizana na defense.

Sisi tukaenda kumiliki mpira wao wakaja kutafuta magoli.

Anyway, nafikiri Wolves yupo kwenye form kipindi hichi kuliko Brentford so naona tuna matumaini.
Ukizingatia pia game hii itapigwa Emirates
 
Neves alichoamua kusema akiseme ila kuna tofauti ya matarajio ukiwa wolves na ukiwa Arsenal. Ukiwa Arsenal kila point tatu zina kazi ya kutufanikishia mission. Mission ya Arsenal ni top four.

Ningependa kumsikia pia baada ya mechi na norwich
Haikunishangaza maana nimeona ni dalili ya kuwa Arsenal fan, huwezi kufuatilia team 10 years consecutive games kama sio supporter wa timu husika.
 
150 ya last window imeishia wapi!? Tumeokota dagaa tu na team bado inateseka
You can't be serious mkuu.

Tumeokota dagaa kwa Odergard?? Kwa Ramsdale?? Kwa Ben white???

Tell me you were joking, or rather you just have so much hatred for Arteta.

Kamuangalie Maguire huko wa 80M, Ramsdale ni kipa wa 70M au kuzidi maana ndio watu walilipa kwa kepa. Ordergard ni namba 10 ambae will cost you not less than 40M kwa dunia ya sasa. Tavares ni back up ya kuaminika kabisa mkuu.
 
Timu inateseka! Duh kweli hypernegativity haiwezi kuisha kwa mafans wa hii club. Lakini sio mbaya tutaelewana tu cha msingi Mikel Arteta tunaye.
Wenzetu are so negative aiseeee duh!
Yaani tulipotoka, tulipofika na tunapoelekea watu wanajitia upofu ili tu wasimamie misismamo yao???

Mimi pia nilikuwa against Arteta lakini nimeona kinachofanyika.

Hii timu ipo kwenye muelekeo wa mafanikio aiseee
 
You can't be serious mkuu.

Tumeokota dagaa kwa Odergard?? Kwa Ramsdale?? Kwa Ben white???

Tell me you were joking, or rather you just have so much hatred for Arteta.

Kamuangalie Maguire huko wa 80M, Ramsdale ni kipa wa 70M au kuzidi maana ndio watu walilipa kwa kepa. Ordergard ni namba 10 ambae will cost you not less than 40M kwa dunia ya sasa. Tavares ni back up ya kuaminika kabisa mkuu.
Agiza pepsi hapo nakuja kulipa
 
You can't be serious mkuu.

Tumeokota dagaa kwa Odergard?? Kwa Ramsdale?? Kwa Ben white???

Tell me you were joking, or rather you just have so much hatred for Arteta.

Kamuangalie Maguire huko wa 80M, Ramsdale ni kipa wa 70M au kuzidi maana ndio watu walilipa kwa kepa. Ordergard ni namba 10 ambae will cost you not less than 40M kwa dunia ya sasa. Tavares ni back up ya kuaminika kabisa mkuu.
Tuko sawa sawa Mkuu kwa sehemu karibia zote ila hapo Kwa Tavares hapana, hakuna backup ya uhakika pale, inabidi akaze buti sana ili kutuaminisha Kwamba yeye ni backup ya maana

Ana mawenge sana kiasi Kwamba ata kutuliza mpira shida,kutoa pass tabu,ku dribble kasheshe, Kila akishika mpira anakuwa hajui ata afanye nini Kwa Muda gani

Labda kama alikuwa Mzuri huko alikotoka ila kwa Arsenal bado sana hajaonesha kama ana deserve kucheza Arsenal, ana kazi ya ziada ya kuifanya ku prove uwezo wake
 
Kama kuna group la arsenal adimin mniunge...jaman
Huku niliko mtandao upo chini jf kufunguka ni issue.
0716601783
 
Wakati tunamchukua Ben white na Aaron Ramsadale,Arsenal haters walitushambulia kwa kutuambia kua hatupo serious na trophies.

mashabiki wa utd walienda mbali sana wakasema Ben white haiingii hata theluthi kwa Rafael Varane na kudai kua tumepigwa hela ndefu.

Mwishowe leo wote tunaona kazi ambayo White anapiga huku akilipwa £120k tu kwa week.Huku wao Varane akikunja £340k kwa mpira usioonekana.

Kwa ramsadale pia maneno yalikua mengi sana.
 
Wakati tunamchukua Ben white na Aaron Ramsadale,Arsenal haters walitushambulia kwa kutuambia kua hatupo serious na trophies.

mashabiki wa utd walienda mbali sana wakasema Ben white haiingii hata theluthi kwa Rafael Varane na kudai kua tumepigwa hela ndefu.

Mwishowe leo wote tunaona kazi ambayo White anapiga huku akilipwa £120k tu kwa week.Huku wao Varane akikunja £340k kwa mpira usioonekana.

Kwa ramsadale pia maneno yalikua mengi sana.
Mpira wa Leo ni kweli unahitaji pesa must-win titles. Lakini tulichojifunza in the past 7-8 years ni kwamba it's not only about money.

Sometimes it's about having a right coach/manager.

It's about mentality.

Mifano ni mengi
 
Back
Top Bottom