Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

How many 20Yos get this treatment every week?
1642139450603.png
 
Kati ya Miguel na Patino niliamini Miguel ataanza pata game timu mbele ya Patino, mambo yamekua kinyume.

Ripoti zinadai Arsenal imevunja loan deal ya Miguel hivyo anatarajiwa kurudi kuimarisha mid.

Kwangu hii inamaanisha Arsenal haina matarajio ya kusajili hivi karibuni, fununu zilikua juu ya Bruno na Renato ghafla zimehamia kwa Arthur na Tielemans.

Arthur atasaidia kulinda kuliko kushambulia nafikiri ni option nzuri kama unataka timu inayozuia lakini mid ya kusaidia magoli ni Renato au Tielemans.

Kuna kitu tunaenda kukirudia hapa.
Tieleman had summer, Arthur ngoja aje tumuone, barca huwa wanajuta kumuacha

1642140243098.png
 
Arteta said Arsenal were missing "9 or 10 players already" before tonight's game and couldn't rule out P-P Sunday's derby. "It's a possibility in any game, because of the amount of issues that everybody is having. We try to prepare thinking that we're going to play.
 
Likitokea deal wanamtaka xhaka, basi auzwe tu

Pale xhaka alitakiwa azuie njia au amfanyie disturbance tu. Wachezaji wengine wangekuja kutoa msaada

Laiti tungekua 11vs11 Liverpool alikua anakufa ata goal 3
Kama ukiangalia kabla ya red kadi, tulikua na domination huku tukikabia juu
Baada ya red card tulipak bus
 
Bora Xhaka hatakuwepo mechi ya Emirates jamaa anajua kumalizaga game mapema draw ya jana ni good results sababu tulikuwa pungufu na Anfield is the one among the difficulties stadium to play in the world otherwise players mechi ya Emirates wasitu dissapoint kama tumeweza pata draw results tukiwa Anfield plus red card why not at Emirates?
 
Kati ya Miguel na Patino niliamini Miguel ataanza pata game timu mbele ya Patino, mambo yamekua kinyume.

Ripoti zinadai Arsenal imevunja loan deal ya Miguel hivyo anatarajiwa kurudi kuimarisha mid.

Kwangu hii inamaanisha Arsenal haina matarajio ya kusajili hivi karibuni, fununu zilikua juu ya Bruno na Renato ghafla zimehamia kwa Arthur na Tielemans.

Arthur atasaidia kulinda kuliko kushambulia nafikiri ni option nzuri kama unataka timu inayozuia lakini mid ya kusaidia magoli ni Renato au Tielemans.

Kuna kitu tunaenda kukirudia hapa.
Miguel amerudishwa kwa sababu hapati namba na sio kuwa arsenal wanataka wamtumie.
Usajili uko palepale.
 
Likitokea deal wanamtaka xhaka, basi auzwe tu

Pale xhaka alitakiwa azuie njia au amfanyie disturbance tu. Wachezaji wengine wangekuja kutoa msaada

Laiti tungekua 11vs11 Liverpool alikua anakufa ata goal 3
Kama ukiangalia kabla ya red kadi, tulikua na domination huku tukikabia juu
Baada ya red card tulipak bus
Labda kama huo mpira mimi sijaangalia
 
Kati ya Miguel na Patino niliamini Miguel ataanza pata game timu mbele ya Patino, mambo yamekua kinyume.

Ripoti zinadai Arsenal imevunja loan deal ya Miguel hivyo anatarajiwa kurudi kuimarisha mid.

Kwangu hii inamaanisha Arsenal haina matarajio ya kusajili hivi karibuni, fununu zilikua juu ya Bruno na Renato ghafla zimehamia kwa Arthur na Tielemans.

Arthur atasaidia kulinda kuliko kushambulia nafikiri ni option nzuri kama unataka timu inayozuia lakini mid ya kusaidia magoli ni Renato au Tielemans.

Kuna kitu tunaenda kukirudia hapa.
Juve wao wanamtaka Bruno watuachie Arthur ila pesa ndio hawana

Afu Arthur ni on ball midfielder Means anaexcel kwenye timu zinazoposess sana mpira, off ball hana defensive workload
 
Back
Top Bottom